Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,798
- 20,748
- Thread starter
- #41
We nae acha uzembe bana. Mbona kupika kazi rahisi tu. Anyway, niko napika hapa. Eti ukizidisha chumvi kwenye tambi unafanyaje waungwana? Au nitafute chips?
Hhahahahah yani we jamaa unaniua mbavu
Unajua kupika halafu hujui kiwango cha chumvi au kama chakula kinatakiwa kuwekwa chumvi
Wewe unakoroga michanganyo
Tuanzishe club ya wasiojua kupika basi wewe uwe mwenyekiti mie niwe makamu mwenyekiti