Enhee ulifanyaje rafikiNataka kukusaidia. Mm Leo nimelala vizuri.
That is nice 👌Nilibadilisha mtazamo, nikaacha simu na stimulation zoote. Lengo ilikua kukata distraction zote na kweli it's all about mindset
Unataka kugundua nn?That is nice 👌
Enhee ulikua chumbani bila shaka?
Ulikua umevaa nini?
Uliwasha taa/ au mwanga hafifu/giza nene ?
Ulilala mlalo gani ?
Uzi ufungwe!Binadamu tunatakiwa kuishi maisha kulingana na uhalisia wake. Tukitaka kuishi maisha ya kufikirika; basi tutambue fika msongo wa mawazo, maamuzi ya kukurupuka, chuki na hasira zisizo na kichwa wala miguu haziwezi kutuacha salama.
Ifikie wakati tuukubali ukweli ili maisha nayo yaendelee. Siyo lazima ufanye kazi ya ndoto yako! Ni wachache sana waliopata hiyo bahati. Hivyo ukipata kazi ya kukusaidia kuishi na kuisaidia familia yako, mshukuru Mungu! Siyo kazima uoe/uolewe na mwanamke/manaume uliyemuota ndotoni! Ukimpata mtu sahihi wa kuishi naye, mshukuru Mungu!
Katika kitu niliwagomea nyumbani ni kwenda kanisani.Wachawi Hamkosekani.
Wao wenyewe walisema hivyohivyo lakini kama ulivyosema hakuna anayenijua kuliko mimi mwenyewe!SI uchawi uko ndani yako. Sishangai
Kama kuna WATU wanahisi walelogwa au kufanyiwa ulozi waje inboxWengi wamefungwa Bado mkuu.
Ukiwa na maana?Unataka kugundua nn?
Ahaaa basi nilijua process inaanzia kitandani kumbe sivyo okRatiba in naanza saa Moja before bedtime.
Ohoooo nitajaribu hiiInstead of checking the phone una wind up na kitabu, meditation, au slow breathing mpka utakapo jiskia usingizi. Ndo unaenda kulala.
Hii imeichukulia serious sana 🤔 very sorryMambo ya sjui nimevaaje? Mlalo Gani!!
Hapa nakumbuka sikukupa jibu na kwasababu ya privacy yangu tu ila shida ni kati ya hayo mawiliWw si ulisema cause yako sio psychological ni physical, hio solution haita Fanya kazi
Kuna cha kuongezea kwenye hili au niichukue tu hivi hivi 🔥Binadamu tunatakiwa kuishi maisha kulingana na uhalisia wake. Tukitaka kuishi maisha ya kufikirika; basi tutambue fika msongo wa mawazo, maamuzi ya kukurupuka, chuki na hasira zisizo na kichwa wala miguu haziwezi kutuacha salama.
Ifikie wakati tuukubali ukweli ili maisha nayo yaendelee. Siyo lazima ufanye kazi ya ndoto yako! Ni wachache sana waliopata hiyo bahati. Hivyo ukipata kazi ya kukusaidia kuishi na kuisaidia familia yako, mshukuru Mungu! Siyo kazima uoe/uolewe na mwanamke/manaume uliyemuota ndotoni! Ukimpata mtu sahihi wa kuishi naye, mshukuru Mungu!
How does this have to do with, sleep circle.. labda ungesema quality of sleep. Ila shida ni kulala kabisa.Hii imeichukulia serious sana 🤔 very sorry
Lakini ujue kuna mlalo ukilala unalala vizuri wataalamu husema hivyo
Privacy na unashida? Ungesema hata indirectly. Mficha uchi hazaiHapa nakumbuka sikukupa jibu na kwasababu ya privacy yangu tu ila shida ni kati ya hayo mawili