Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

Nimeamini hakuna anaekujua zaidi ya wewe

Hawakukubali kirahisi mkuu ni baada ya accomplishment of my dreams ila kwa kuomba sana msamaha kupitia rafiki yake mzee .

Haikuwa jambo rahisi japo nilipambana sana ,kutoka kula bure ila kwenda kula kwa wana tena wasio na kazi ila wanapambana sababu uliishi nao vyema ukiwa kwenye neema haikuwa rahisi ndugu.

That's why naiheshimu keko na naipenda sana keko kuliko popote hapo jijini .
Nakupata mkuu, safari sio rahisi. Maumivu Huwa ni hasa Kwa watu wa karibu. Wanaona kama unawadharau na kuwatenga, ila trust me it's what they thought was right for you. Ndo maisha yenyewe mkuu, irnabidi utembee peke yako
 
I’ve closed the door to anyone who brings negative energy into my life
Not all negative energy is essentially bad, some is to push you

Wewe week tu
Pole kutana na wataalamu
Sio week Moja. Huwa inakuwa back and forth, ila hii imekua extreme sana..wataalam walisema hakuna changamoto. Ni pattern na ratiba za usiku ila nikijaribu nafanya Kwa muda then narudia tena Vp ww? Umesema limekua sugu. Ulifikaje hapo?
 
Binadamu tunatakiwa kuishi maisha kulingana na uhalisia wake. Tukitaka kuishi maisha ya kufikirika; basi tutambue fika msongo wa mawazo, maamuzi ya kukurupuka, chuki na hasira zisizo na kichwa wala miguu haziwezi kutuacha salama.

Ifikie wakati tuukubali ukweli ili maisha nayo yaendelee. Siyo lazima ufanye kazi ya ndoto yako! Ni wachache sana waliopata hiyo bahati. Hivyo ukipata kazi ya kukusaidia kuishi na kuisaidia familia yako, mshukuru Mungu! Siyo kazima uoe/uolewe na mwanamke/manaume uliyemuota ndotoni! Ukimpata mtu sahihi wa kuishi naye, mshukuru Mungu!
Ni sawa na hayo ni maoni yako.
 
Hii ni kweli, unafanya kazi ambayo hata huna furaha nayo. Unaamka asubuhi huna furaha kabisa ya kwenda kazini ila utafanyaje sasa lazima ufanye kazi upate kipato uishi. Shida huna furaha na unachokifanya na hujui ufanyaje kupata hicho utakachokifanya ukifurahie.
So, ni Bora kuishi katika maumivu ndani ili kusurvive sio? Sidhani kama ni sawa kuishi hadi kufa namna hiyo
 
Not all negative energy is essentially bad, some is to push you
Kwa upande mwingine ni kweli
Ila kua na limit ya kupokea vitu ni bora zaidi
Sio week Moja. Huwa inakuwa back and forth, ila hii imekua extreme sana..wataalam walisema hakuna changamoto. Ni pattern na ratiba za usiku ila nikijaribu nafanya Kwa muda then narudia tena Vp ww? Umesema limekua sugu. Ulifikaje hapo?
Ni story ndefu siwezi kuandika hapa but kuna issue ilitokea ikanilazimisha kua macho / kutokusinzia usiku

Naona mwili na ubongo vikapokea mabadiliko so nimejaribu weee naona inakua ngumu ila naendelea kujaribu tena na tena kulala vizuri kama mwanzo
 
Kwa upande mwingine ni kweli
Ila kua na limit ya kupokea vitu ni bora zaidi

Ni story ndefu siwezi kuandika hapa but kuna issue ilitokea ikanilazimisha kua macho / kutokusinzia usiku

Naona mwili na ubongo vikapokea mabadiliko so nimejaribu weee naona inakua ngumu ila naendelea kujaribu tena na tena kulala vizuri kama mwanzo
Hii issue ni psychological au physical?
 
Endelea kujifunza.
Ukienda deep utagundua kuwa hata wewe hujijui
Na ukienda deep zaidi utagundua kuwa hata wewe haupo,
hicho kitu unachomaanisha ukisema "mimi" Hakipo, ni illusion.
 
Endelea kujifunza.
Ukienda deep utagundua kuwa hata wewe hujijui
Na ukienda deep zaidi utagundua kuwa hata wewe haupo,
hicho kitu unachomaanisha ukisema "mimi" Hakipo, ni illusion.
Kwamba ni mkusanyiko wa mawazo tu😅😅😅
 
Mi hata sioni tatazo heb ngoja tuone uko mbeleni itakuaje

Ila kuna sehemu Whenever I go there, I sleep like a baby 😅😅
Wapi huko? Hiyo ni accomodation ya usingizi ulopotea. Au unamaanisha wamekuchezea?
 
Ukiwa na pesa huwezi kupata usingizi. Mipango huwa mingi kwa kichwa.

Watu pekee wanaofaidi usingizi ni watoto na wavivu ambao wao Wanasubiri Mungu awabariki..!!
 
Endelea kujifunza.
Ukienda deep utagundua kuwa hata wewe hujijui
Na ukienda deep zaidi utagundua kuwa hata wewe haupo,
hicho kitu unachomaanisha ukisema "mimi" Hakipo, ni illusion.
Hii mentality haina manufaa, if everything is an illusion. At least make yours pleasurable.
 
Ukiwa na pesa huwezi kupata usingizi. Mipango huwa mingi kwa kichwa.

Watu pekee wanaofaidi usingizi ni watoto na wavivu ambao wao Wanasubiri Mungu awabariki..!!
Kabisa
 
Back
Top Bottom