JAMANI kwanini delivery failed maana yake nini?
Mzgo umefika ila haujaenda kuuchukua so delivery attempt failed
Nimeenda wamesema bado haujafika posta yetuuMzgo umefika ila haujaenda kuuchukua so delivery attempt failed
Wameniambia haujafika posta etu etSwali dogo tu,kama mzigo umefika tarehe moja mpaka leo kwanini hujauchukua?
Uliagiza mzigo lini?Wameniambia haujafika posta etu et
Kwenye tovuti ya posta tanzania inaonyesha mzigo wako wenye namba uliyoweka ulipelekwa musoma.Wameniambia haujafika posta etu et
Kwanini unampa pole?Km ni DHL pole
Kwanini unampa pole?
Hapana, mzigo unapo ingia Tz, tuna tumia tracking system ya Tz kufatilia mzigo, ukiona una chelewa, basi una piga simu posta DSM wao wata kueleza mzigo ulipo na ikiwezekana wata kujuza zaidi ili upokee mzigo wako...Sometimes ni wezi wanaleta drama mpk ukate tamaa
Wataalamu hivi mzigo ukifikia hatua hii ndio zinakuwa zimebaki siku kama ngapi nikachukue Mali?Nenda postal kaulize watakupa majibi, muda mwingine wanasema failed halaf umefika