Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

Inasisimua na kutia huruma kwa mtoto ambaye ametelekezwa mikononi mwako... Nakushauri kaka mlee kama vile wakwako hadi hapo mama au ndugu wa mtoto watakapojitokeza ila nakusihi jitahidi kumfanyia ibada kupata kibali mbele za Mungu. Hatuwezi jua ametokea wapi.... Wengi wamesema ni baraka umeletewa, lakini pia kuna wakina Zinduna.

Mungu akubariki kwa moyo wa upendo ulio nao.

umenena vyema
dunia hii sshiv hatari sana
 
Unabahati kubwa sana mkuu! Mark my words. Embu fikiria kati ya watu woote na possibilities zooote ikakudondokea ww! Ur very lucky. Ningempenda sana huyo kiumbe. sana na nakushauri nawe iwe hivyo hivyo!

U have a point mkuu!
 
Mkuu umepata mtoto bila jasho. Ndo wako huyo tena. Watu wanalilia watoto.
 
inawezekana kabisa malipo yakawa ni hapa hapa duniani,hebu kumbuka katika pita pita zako hujawahi kususa mimba?hujawahi kusema hautambui ujauzito ni wako?kama hujawahi kususa mimba then heri ya mwaka mpya

Sijawahi mkuu, even once. Sina roho hiyo.
 
hiyo baraka mtu wangu, ila hakikisha unakamilisha taratibu zote za kumuadopt maana hii serikali hata haielewekagi aisee. Kuandikisha polisi tu bado utaratibu wa kisheria wa kumuadopt mtoto haujakamilika, malizia maana hii inaonekana baraka lakini usipoihalalisha kuwa baraka safi inaweza kukutia matatizoni akijitokeza mtu na madai yake. Si unajua watu wanachungulia fursa siku hizi?

Nitaanza hizo taratibu soon coz i am a lawyer.
 
Cute-Black-Babies_large.jpg

dah! niachiwe toto kama hilo silirudishi ng'o.
 
Kaite Amicus Curiae Junior.

Ha ha ha! interesting! ujue 'Amicus Curiae' is a latin legal maxim which means "a friend of the court", i am a lawyer ndio maana natumia hilo jina, huenda nikikaita Amicus Curiae Jr katakua kanasheria kama mimi.
 
kuna baraka nyingi katika matunzo ya watoto hasa hasa ambao sio wako..nina fanya hivyo na nina weza kua shuhuda wa hayo
 
Back
Top Bottom