Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,849
- 37,556
Inasisimua na kutia huruma kwa mtoto ambaye ametelekezwa mikononi mwako... Nakushauri kaka mlee kama vile wakwako hadi hapo mama au ndugu wa mtoto watakapojitokeza ila nakusihi jitahidi kumfanyia ibada kupata kibali mbele za Mungu. Hatuwezi jua ametokea wapi.... Wengi wamesema ni baraka umeletewa, lakini pia kuna wakina Zinduna.
Mungu akubariki kwa moyo wa upendo ulio nao.
umenena vyema
dunia hii sshiv hatari sana