Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

Nimeachiwa mtoto ndani ya basi

SMU, kwa mtoto wa miaka 2 bado anakuwa hajaweza kuongea vizuri sana isipokuwa atakachohisi kwa haraka ni kuwa kwenye mazingira tofauti.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
SMU, kwa mtoto wa miaka 2 bado anakuwa hajaweza kuongea vizuri sana isipokuwa atakachohisi kwa haraka ni kuwa kwenye mazingira tofauti.

Hata mm nime_note mkuu, ni kama kanahisi hakapo kwenye mazingira kaliyoyazoea.
 
Mlee tu, ila weka doc zote vizuri usije ukageuziwa kibao. Wasipojitokeza wazazi wake fanya mpango wa Kum-adopt, provided he is not a burden to you.

Mungu akubariki!
 
Hii mbona ni bahati mkuu, lea tu , ila nakushauri ukatoe ripoti kwenye vyombo husika (ustawi wa jamii kama sikosei). Ripoti pekee uliyotoa pale polisi sidhani kama inatosha!
 
Gods gift..... yaani kuna watu wanatafuta katoto kamoja kwa umba naubani... Nawe wampata kiurahisi !! hongera ishinae tu !!
 
Mkuu, polisi wa siku hizi wanafanya kazi bila kuzingatia weledi, walivyogundua tu nina kazi wakanikomalia niondoke nae.
Sipati picha. Ndo hivyo kameishia kwa mtu anaejitambua.what if you were a bad person. Say a pedophile. Damn.
 
hongera mkuu... We umeuanza mwaka vizuri.
 
SMU, kwa mtoto wa miaka 2 bado anakuwa hajaweza kuongea vizuri sana isipokuwa atakachohisi kwa haraka ni kuwa kwenye mazingira tofauti.
Ni kweli ingawa kwa mzoefu wa watoto unaweza kuongea naye/kumsikiliza na ukamuelewa. Mwanangu wakati ana mwaka mmoja na miezi tisa, alikuwa anaweza kutaja jina lake na likaeleweka tu kama uko makini kumsikiliza (hata kwa mtu mgeni).
 
duuuh.....pole sana! Mshukuru Mungu kwa huo mtihani, Mungu hakupi jaribu bila kukuonesha mlango wa kutokea!
 
Back
Top Bottom