Nimeachana na mpenzi kisa Facebook

Nimeachana na mpenzi kisa Facebook

Kuna watu wengine unakuta marafiki wao wa Fesibuku ni pamoja na mama na baba zao wazazi na ukoo mzima, halafu unakuta wewe wote hao hawajui kama unamahusiano ya kimapenzi na ndugu yao. Sasa wakiona yupo kwenye mahusiano ambayo hawayajui si watashtuka?
Ulitakiwa kumuuliza kama ukifanya hivyo itakuwa poa kwake.
 
Kuna watu wengine unakuta marafiki wao wa Fesibuku ni pamoja na mama na baba zao wazazi na ukoo mzima, halafu unakuta wewe wote hao hawajui kama unamahusiano ya kimapenzi na ndugu yao. Sasa wakiona yupo kwenye mahusiano ambayo hawayajui si watashtuka?
Ulitakiwa kumuuliza kama ukifanya hivyo itakuwa poa kwake.

yalishanikuta hayo enzi hizo... nikawekewa wanted daadeki,,
 
Kuna watu wengine unakuta marafiki wao wa Fesibuku ni pamoja na mama na baba zao wazazi na ukoo mzima, halafu unakuta wewe wote hao hawajui kama unamahusiano ya kimapenzi na ndugu yao. Sasa wakiona yupo kwenye mahusiano ambayo hawayajui si watashtuka?
Ulitakiwa kumuuliza kama ukifanya hivyo itakuwa poa kwake.

Labda kama ni under 18
 
Huyo hakuwa anakupenda kwa dhati kiasi kwamba amechukizwa kwa kuwa displayed hilo analiona kama umemfunga zaidi asipate mtu mwingine.Ushauri wangu achana naye uangalie ustaarabu mwingine
 
Wanajamvu MMU nimerudi tena kijana mwenzenu naombeni ushauri kuna msichana nampenda sana na tumedumu kwa muda mrefu japo si sana mimi namuamini sana na kwa mujibu wake pia ana niamini ilikudhihirisha upendo wangu wa dhati kwake niliamua kumuweka in relation kwenye account yangu ya FACEBOOK.

La ajabu mpenzi wangu alinijia juu na kunitaka nifute kabisa hayo maandishi kule FACEBOOK jambo hilo limesababisha tuwe na mawasiliano mabaya inafikia kipindi nikimpigia simu hapokei wala hanitumii message kama zamani hivi kweli facebook inaweza kusababisha mimi na yeye tuachane?

Roho inaniuma sana kwani ananiacha kipindi ambacho bado namuhitaji na inavyoonekana yupo serious na uamuzi wake.

Naombeni ushauri wenu wana jamvi wenzangu.
Huo ndo uhusiano wa mwendo kasi! Hapo huna mtu. Piga chini tu. Wallah atakutia presha huyo.
 
Huyo hakuwa anakupenda kwa dhati kiasi kwamba amechukizwa kwa kuwa displayed hilo analiona kama umemfunga zaidi asipate mtu mwingine.Ushauri wangu achana naye uangalie ustaarabu mwingine
Asana ubarikiwe sana
 
Wanajamvu MMU nimerudi tena kijana mwenzenu naombeni ushauri kuna msichana nampenda sana na tumedumu kwa muda mrefu japo si sana mimi namuamini sana na kwa mujibu wake pia ana niamini ilikudhihirisha upendo wangu wa dhati kwake niliamua kumuweka in relation kwenye account yangu ya FACEBOOK.

La ajabu mpenzi wangu alinijia juu na kunitaka nifute kabisa hayo maandishi kule FACEBOOK jambo hilo limesababisha tuwe na mawasiliano mabaya inafikia kipindi nikimpigia simu hapokei wala hanitumii message kama zamani hivi kweli facebook inaweza kusababisha mimi na yeye tuachane?

Roho inaniuma sana kwani ananiacha kipindi ambacho bado namuhitaji na inavyoonekana yupo serious na uamuzi wake.

Naombeni ushauri wenu wana jamvi wenzangu.
Sababu hiyo kakutafutia mkuu. Kutakuwa kuna kidume alikuwa anammendea huyo demu wako so huyo mchizi kakushinda kete aisee.

Ukiona kicheche kakukimbia miache atarudi tu!!
 
Back
Top Bottom