elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Hahahaha mkuu hutak nikusaidie revenge.lenye kesi baya litakuumiza tu liuaji likubwa lile....
Mimi kesi ya Adam sitak David apate shida kwa kesi ya Adam
Hahahaha mkuu hutak nikusaidie revenge.lenye kesi baya litakuumiza tu liuaji likubwa lile....
labda ilikuwa hivyo naamini hii ni siri yeye mwenyewe ndio alipaswa atoe majibu....dah ila wasichana mna vitimbi sana...joksHahahaha! Unamharibia mipango mwenzio!!!
Labda wazazi wake wapo Fb na hataki waone hiyo status
mkuu napenda ila usije ukaumizwa...ukaja kunipa lawama bure.Hahahaha mkuu hutak nikusaidie revenge.
Mimi kesi ya Adam sitak David apate shida kwa kesi ya Adam
Mkuu niko tayari kufa niki revenge kwa ajili ya mwanaume mwenzangu yani nina roho ya che guevara....lolmkuu napenda ila usije ukaumizwa...ukaja kunipa lawama bure.
asante...ila napata wakati mgumu ivi wewe ni me...au...kevery sorry
keasante...ila napata wakati mgumu ivi wewe ni me...au...ke
oh....naomba urafiki,,,,....
hi ndio raha ya jf huwezi kosa majibu ni ww tu kuchangamsha akiliNjoo kwangu niko singo!
Kumbe darassa alikosea unaweza subiri embe chini ya mnazi na ukapata bwana toka kwa mpita njia..mkuuu haya mtoto huyu hapa usije ukaniona nakubania bure ila naomba mrejesho
haahaaa....haya mkuu mimi yangu macho na masikio nitachanga tena naomba kadi yangu ya mchango iwe vipKumbe darassa alikosea unaweza subiri embe chini ya mnazi na ukapata bwana toka kwa mpita njia..
Mwakani ntakuletea kadi uhudhulie harusi yetu aisee.
hope ulifanikiwa....haahaaKumbe darassa alikosea unaweza subiri embe chini ya mnazi na ukapata bwana toka kwa mpita njia..
Mwakani ntakuletea kadi uhudhulie harusi yetu aisee.
Hahaha mkuu nilikuwa nazngua mkuuhope ulifanikiwa....haahaa
muoga...unaogopa kuumizwa....Hahaha mkuu nilikuwa nazngua mkuu