afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,728
huwa niko sensitive...ni culture kuweka fb in relation bila cosultation sio sahihi.....je mlivalishana pete kanisani au msikitini au kwenye ngazi ya kifamilia...bas mpaka hapo unaelewa nini shda kwani facebo unakuwa in pulic tena ninyiewawili tu mmeaongea...haijawa official kivile na pia unawezamuharibia kwako kwa wengine kama badoanafanya assessment...soni busara..minaona si saw...upandemwingine labdahakupendi but usimpe pressuire....so umekosea.....