elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Hapana mkuu hiyo ajali kazini tu sema I wasnt serious abt itmuoga...unaogopa kuumizwa....
Hapana mkuu hiyo ajali kazini tu sema I wasnt serious abt itmuoga...unaogopa kuumizwa....
ivi tarehe ya hii interview ilikuwa lini?Hebu tuma maombi yako nione... Ambatanisha vitu vifuatavyo:-
1. Cheti cha kuzaliwa
2. CV
3. Vyeti vya sekondari na vyuo
4. Bank statement
5. Passport (Lazima iwe international)
6. National ID
7. Picha yako full nyuma na mbele
8. Valid driving licence
9. Picha ya nyumba iwe mpya
10. Picha ya gari namba D
Baada ya hapo ukifanikiwa utapigiwa simu...
Asante
ok...mishe zinaendaje pande za uko...Hapana mkuu hiyo ajali kazini tu sema I wasnt serious abt it
We atakuacha kwa instagramNjoo kwangu niko singo!
1. Cha kuzaliwa, Mwakyembe mwenyewe hanaHebu tuma maombi yako nione... Ambatanisha vitu vifuatavyo:-
1. Cheti cha kuzaliwa
2. CV
3. Vyeti vya sekondari na vyuo
4. Bank statement
5. Passport (Lazima iwe international)
6. National ID
7. Picha yako full nyuma na mbele
8. Valid driving licence
9. Picha ya nyumba iwe mpya
10. Picha ya gari namba D
Baada ya hapo ukifanikiwa utapigiwa simu...
Asante
Hivi unajua wanaume tuko wachache sana dunia hii? Kuna aliye bora kuliko huko wa fb..Wanajamvu MMU nimerudi tena kijana mwenzenu naombeni ushauri kuna msichana nampenda sana na tumedumu kwa muda mrefu japo si sana mimi namuamini sana na kwa mujibu wake pia ana niamini ilikudhihirisha upendo wangu wa dhati kwake niliamua kumuweka in relation kwenye account yangu ya FACEBOOK.
La ajabu mpenzi wangu alinijia juu na kunitaka nifute kabisa hayo maandishi kule FACEBOOK jambo hilo limesababisha tuwe na mawasiliano mabaya inafikia kipindi nikimpigia simu hapokei wala hanitumii message kama zamani hivi kweli facebook inaweza kusababisha mimi na yeye tuachane?
Roho inaniuma sana kwani ananiacha kipindi ambacho bado namuhitaji na inavyoonekana yupo serious na uamuzi wake.
Naombeni ushauri wenu wana jamvi wenzangu.
Fresh ndugu vp pande hzook...mishe zinaendaje pande za uko...
asante mkuu...yalishapita....Hivi unajua wanaume tuko wachache sana dunia hii? Kuna aliye bora kuliko huko wa fb..
Huu uandishi ni tatizo.huwa niko sensitive...ni culture kuweka fb in relation bila cosultation sio sahihi.....je mlivalishana pete kanisani au msikitini au kwenye ngazi ya kifamilia...bas mpaka hapo unaelewa nini shda kwani facebo unakuwa in pulic tena ninyiewawili tu mmeaongea...haijawa official kivile na pia unawezamuharibia kwako kwa wengine kama badoanafanya assessment...soni busara..minaona si saw...upandemwingine labdahakupendi but usimpe pressuire....so umekosea.....
kumbe na wewe umeliona hilo...Huu uandishi ni tatizo.
HAHAHAHA nilikurupuka mtu mzima na haraka haraka juu, matokeo yake nimekuwa jipu katika uandishi....nakiri ni tatizo.......Huu uandishi ni tatizo.
hongera sana mkuu ni wachache sana huwa wana vumilia fedheha ya kukosolewa...huo ndio ubinaadamHAHAHAHA nilikurupuka mtu mzima na haraka haraka juu, matokeo yake nimekuwa jipu katika uandishi....nakiri ni tatizo.......
emotional intelligence mkuu, kukosolewa ni part of growing stronger, anayejifunza hanaga ukomo hata kama ana PHD.hongera sana mkuu ni wachache sana huwa wana vumilia fedheha ya kukosolewa...huo ndio ubinaadam
Sio kila mtu anapenda kuanikwa kila sehem coz watu hatutabiliki, ikitokea mmeachana utamtoa na kuchora picha mbaya fb na maeneo mengine maana tuliowengi hatujiaminKila Mtu Kuna Asichopendelea, Usifos Mtu Akubaliane Na Unachoona Wewe Kinafaa, Muhimu Toa Details Zake Fb Alafu Mwombe Msamaha Yaishe, Muendelee Narelation, On Otherside Inawezekana Anahofia Kukamatika Kwa Another Bf Kuwa Yupo Nawe Mchunguze Ujue Why Hapendi Umweke Fb? Kama Sababu Nizamsingi Muondoe Msonge Mbele
Ujumbe mzuriMtu akitoka, mwingine anaingia.
Mtu akishuka, mwingine anapanda.
Mtu akisimama, mwingine anakaa.
Fanyiakazi hizo maneno, na usipende kukuna palipo acha kuwasha....

We mtoto kajifunze kuandika kwanza humu kuna watu wazima..xaxa ww unamxhaur nn? Kulikuwa na haja gani ya kuruxhana fb?
Teh teh!