Nimeachana na mpenzi kisa Facebook

Nimeachana na mpenzi kisa Facebook

Wakati wewe unaachana na MWEZIO KISA FACEBOOK MI NDO ILINIPATIA MKE NA SASA TUNA WATOTO WAWILI NA TUNAISHI KWA fURAHA NA Amani na Upendo ndani yake.

Heri wewe umepata na umezaa, mimi bado namgojea wangu humu jf maana maombi bado yapo mezani
 
tumblr_m3beapJmdl1r7z707o1_500.png
 
kipindi hichooooo nligombanaga na mtu kisa plofile picha wasap ...aling'ang'ana niweke picha yake ilhali ni wapenzi tu....malavu yenyewe hayatabiriki thubutuuuuu
 
hajivunii kuwa na wewe, hapendi mahusiano yenu yajulikane, kwako ni kama njia tu, yuko safarini kumtafuta anayempenda. lakini pia kwa upande wa pili inawezekana anazo sababu za kimaadili. pengine hapendi kaka zake, wazazi wake na ndugu wa karibu wajue kama anampanulia mapaja mvulana fulani. yote yanawezekana hapa unless utuambie kama wewe unajulikana kwa ndugu na wazazi wake
 
moja kati ya haya yanaweza kuwa ni kweli
1: Amekasirika kwa kuwa hujamshirikisha wakati wa kufanya hilo jambo
2: Ana kidume au vidume wengine ambao amewapanga huko FB
3: Kama ana connection na mzazi wake, ndugu zake, basi huenda ikawa hataki wajue mahusiano yeni kwa sasa
4: Hana mpango wa kuwa nawe na anahisi aibu kukuweka wazi mbele za watu kuwe we ndo unammiliki

Jiongeze kijana....kubali matokeo
 
Back
Top Bottom