Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Kutokana na sababu zilizo "ndani" ya uwezo wangu,nafurahi
kuwatangazi ndugu,jamaa na marafiki wote ninao wafahamu na wale
nisio wafahamu kwamba:-
1.Sitashiriki katika kikao chochote cha harusi ya yeyote yule.
2.Sitatoa mchango wa sherehe yoyote ile,iwe harusi,kipaimara,sendoff etc.
3.Sitaomba mchango kwa ajili ya chochote kati ya hivyo hapo juu ambavyo vitakua vina
nihusu mimi.
Lakini,likizo yangu hii haimaanishi kwamba sitasaidia wala kushiriki katika
shughuli za mazishi (kuchangia mazishi),harambee ya kupeleka watoto shule,
harambee ya kumpeleka mgonjwa hospitali kwenye matibabu.
Uamzi huu unatokana na ANASA zilizopo kwenye maeneo niliyo yapiga BAN kwani
hela ninazo toa zinatumika kulaani "FURURE" ya yeyote anae fanyiwa sherehe hiyo.
kuwatangazi ndugu,jamaa na marafiki wote ninao wafahamu na wale
nisio wafahamu kwamba:-
1.Sitashiriki katika kikao chochote cha harusi ya yeyote yule.
2.Sitatoa mchango wa sherehe yoyote ile,iwe harusi,kipaimara,sendoff etc.
3.Sitaomba mchango kwa ajili ya chochote kati ya hivyo hapo juu ambavyo vitakua vina
nihusu mimi.
Lakini,likizo yangu hii haimaanishi kwamba sitasaidia wala kushiriki katika
shughuli za mazishi (kuchangia mazishi),harambee ya kupeleka watoto shule,
harambee ya kumpeleka mgonjwa hospitali kwenye matibabu.
Uamzi huu unatokana na ANASA zilizopo kwenye maeneo niliyo yapiga BAN kwani
hela ninazo toa zinatumika kulaani "FURURE" ya yeyote anae fanyiwa sherehe hiyo.
We jiulize kwa kutumia mifano hii.
1.a) Kwanini ukitaka kufanya harusi watu wana changia sana?
b)Kwanini ukitokea msiba,hata utake kwenda kuzikwa INDIA watu wata changa na utaenda.
2. a) Kwanini ukitaka kwenda shule ukaomba mchango hakuna wa kukupa?
b)Kwanini ukiwa unaumwa,hata daktari hakutibu pasipo kutoa hela kwanza,wala ndugu hawatoi hela,lakini ukifa hata daktari anaweza kukusafirisha hadi kwenu ukazikwe?
Harusi ni sehemu za kudanganyana kwamba tuna pendana,ila ukweli wake utaupata kwenye mazishi,HATUPENDANI.