Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 659
- 690
Umeona eeee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji109] [emoji109] anajisifiauandishi wako haujatulia!!,kwa mtu asiye mwelewa ataona km unajisifia
Umeona eeee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji109] [emoji109] anajisifiauandishi wako haujatulia!!,kwa mtu asiye mwelewa ataona km unajisifia
Kumbe ni habari za kusikia tu eeh! Hao wazungu wamekuibia hiyo 200 usd (kama ni kweli) unawasifu eti "wako advanced!!"MBNA povu?
habari za watz kuuawa na kunyanyaswa huko kwa wapuuz uarabuni huzisikiag?
au unaishi pori gan ewe mvaa ndala?
miarabu upumbavu unawasumbua maana hawana elimu hata ya chekechea wao n kuchinja watu na kuoa wNawak 4 shwain I hate them
Mkuu huyu mleta mada ushamba unamsumbua tu,nadhani ni mara yake ya kwanza kusafiri abroad,utoto unasumbua akikua ataacha tu.Unajua maana ya forum? Kwanini ulipost hapa? Kwanini hukuwalezea rafiki zako huko unakoishi? Kwa taarifa yako ukishaweka kitu hapa ni lazima kihojiwe kama kina walakini. Ni ni juu yako kutoa majibu kutetea! Na huna majibu ndio maana umeshindwa kujibu
Uandishi wa hii insha pamoja na yaliyomo ni level ya Primary. Upo darasa la ngapi bamdogo?Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.
baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.
Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced
Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu
Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund
Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal
Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.
Hahahaaa! Huyu atakua darasa la Pili A ndio anajifundisha kuandika.Uandishi wa hii insha pamoja na maudhui yake ni level ya Primary. Upo darasa la ngapi bamdogo?
Kama ww ulivyoshindwa kutofautisha addis na dubai...sawa mkuunamaanisha daraja LA pili yaan bussnes sio kila MTU anajua maana ya bussnes
Kwanini mkuu? Mbona million tano ni reasonable kwa anayoyaeleza?Me ni mcheku hapo kwenye gharama tena round trip ni chai tena kahawa
Kashindwa kujizuia utadhani wanafunzi wa primary wakati wa mapumziko. Lazima dunia nzima ifahamu kafika "German", Frankfurt, Dortmund, Amsterdam, Dubai. Teh teh...Hahahaaa! Huyu atakua darasa la Pili A ndio anajifundisha kuandika.
Mwanzoni alisema ni round trip tuu hakutoa Maelezo ya kutosha kwenye comment ndo amejazia jazia vinyamaKwanini mkuu? Mbona million tano ni reasonable kwa anayoyaeleza?
Teh haya mkuu.Mwanzoni alisema ni round trip tuu hakutoa Maelezo ya kutosha kwenye comment ndo amejazia jazia vinyama
Dogo acha uongo basi siku moja kabla?? Kwani safari ulipangia hapo Airport??nilikata tiketi cku moja kabla ya safari na nilipanda second
hiyo hela n pmj na garama ya hotel ya nyota 2,niliyolala cku 2 pale Frankfurt
Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airportI enjoyed my tour.
visa ndio ilikuwa shida sikuwa na uhakika na safar nilishtukiza baada ya visa kuwa clearDogo acha uongo basi siku moja kabla?? Kwani safari ulipangia hapo Airport??
umekariri kuwa lazma itoke Düsseldorf ? kwan etihad wana ndege moja?Mkuu, kama hii sio hadithi tu, ilikuwaje urudi kutoka Germany kwa kutumia Etihad na upitie Amsterdam Uholanzi? Na ungetumia Etihad ungepandia Dussseldorf kwenda Abu Dhabi kwanza. Hapo umejikoroganya kwenye hadithi yako😀😀😀
tatizo watu wanadhan kila mtu anajibana bana,wanaona million 5 n hela nying sana duh watz bhanaKwanini mkuu? Mbona million tano ni reasonable kwa anayoyaeleza?
miarabu kilichowabeba n mafuta tuKumbe ni habari za kusikia tu eeh! Hao wazungu wamekuibia hiyo 200 usd (kama ni kweli) unawasifu eti "wako advanced!!"
Bongo albino wanakatwa viungo wakiwa hai,wazee wanauawa kwa imani za kishirikina tu! Vibaka watuhumiwa wanachomwa moto wakiwa hai mpaka wanakufa! Hayo wewe hua huyaoni?
Panua uwezo wako wa kufikiri na uache kuishi kwa kukariri tu! Waarabu hawana akili? Hebu angalia maendeleo kwenye nchi zao utoe huo ujinga unaokutawala kichwani mwako.
nimekujibu vizur tu wote wameelewa isipokuwa weUnajua maana ya forum? Kwanini ulipost hapa? Kwanini hukuwalezea rafiki zako huko unakoishi? Kwa taarifa yako ukishaweka kitu hapa ni lazima kihojiwe kama kina walakini. Ni ni juu yako kutoa majibu kutetea! Na huna majibu ndio maana umeshindwa kujibu
wewe mcheku bhanaMe ni mcheku hapo kwenye gharama tena round trip ni chai tena kahawa
Nauli hiyo kubwa sana kwa one wayvisa alinishulikia ndgu yangu n padre si unajua ma padre wana exposure fulan tofauti?
nauli nilitumia almost million 5.7 one trip