Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Acha uongo wewe 5mln one trip ulipanda daraja gani? Then Etihad siku hizi connection inafanya Dubai?
Jamaa mpuuz bin mshamba Ujerumani one trip 5.7? angekuwa muungwana aseme budget ya safari.

may be KIA- Dubai
Dubai- Frunkfut

Au ukipitia Dsm-Anstardam
Amsterdam-Fruknfut

au amechanganya za kuingilia uwanjani huko Dortmund? amejumlisha Na alizoibiwa.

ukidanganya ufikirie uwiano.

aseme budget aache ushamba.
 
acha papara mkuu
unajua tiketi nilikata cku ngapi kabla ya safari?
je unajua nilipanda daraja LA ngapi? vitu vingine uwe unafikiria
kuhusu Ethiopia airline kutua ads Ababa,huenda ni ugeni wangu wa safari nkashindwa Ku tambua
Ugeni ndio umekufanya ushindwe kujua umetua Addis Ababa ukajua ni Dubai, kwenye transit hukujua kabisa kuwa hapa ni wapi na boarding pass yako si inaonyesha origin na destination yako sasa hukuona kuwa ni KIA to Addis Ababa then nyingine ni Addis Ababa to Frankfurt?
Sasa wewe na mimi nani afikirie wakati umeeleza kitu kilichoshangaza wengi? Halafu hiyo second class ndio nini sasa? Au unamaanisha business class?
Tujifanye tu ulikuwa German majuzi na ulitoka KIA mpaka Dubai kwa Ethiopian Airlines.
 
Acha kudanganya watu. One way ni around $600 na Round Trip ni less than $900 ni nauli za sasa mpaka March. KILIMANJARO MPAKA KOLN.
nilikata tiketi cku moja kabla ya safari na nilipanda second
hiyo hela n pmj na garama ya hotel ya nyota 2,niliyolala cku 2 pale Frankfurt
 
Acha kudanganya watu kijana! Ndege ya mwisho ya Air Berlin iliruka 27.10.2017 kutokea Munich Airport 21:36 Hrs na kutua Berlin Airport 22:45 Hrs - Airbus A320 D ABNW!
shirika halijafa total lina ndege chache
n sawa na kampuni ya hood imefilisika lkn INA basi kidg
fuatilia vzr
 
Ugeni ndio umekufanya ushindwe kujua umetua Addis Ababa ukajua ni Dubai, kwenye transit hukujua kabisa kuwa hapa ni wapi na boarding pass yako si inaonyesha origin na destination yako sasa hukuona kuwa ni KIA to Addis Ababa then nyingine ni Addis Ababa to Frankfurt?
Sasa wewe na mimi nani afikirie wakati umeeleza kitu kilichoshangaza wengi? Halafu hiyo second class ndio nini sasa? Au unamaanisha business class?
Tujifanye tu ulikuwa German majuzi na ulitoka KIA mpaka Dubai kwa Ethiopian Airlines.
sawa
 
Jamaa mpuuz bin mshamba Ujerumani one trip 5.7? angekuwa muungwana aseme budget ya safari.

may be KIA- Dubai
Dubai- Frunkfut

Au ukipitia Dsm-Anstardam
Amsterdam-Fruknfut

au amechanganya za kuingilia uwanjani huko Dortmund? amejumlisha Na alizoibiwa.

ukidanganya ufikirie uwiano.

aseme budget aache ushamba.
hiyo million 5.7 MBNA nimesema n safari ya kwenda tu? yaan nauli,garama za hotel pale Frankfurt,nilioibiwa,na matumiz binafs
pia nilipanda ndege daraja LA pili
na nilikat ticket ck mj KBL ya safar
 
Mbona Shirika la ndege la air Berlin lilishafilisika na kuacha ku-operate tangu mwaka jana October?
Ngoja nikutafutie ndege ya kutoka moja kwa moja KIA Via Mombasa to Germany... Ukifanya booking mapema miezi miwili au mitati kabla nauli una weza kuta dollars 500 mpaka 800... Kuna ndgu yangu huwa ana tumia sana hiyo root ana niambia Mara nyingi ni wanafunzi na watalii ndio wanatumia sababu ya unafuu wa gharama
 
Kwa hiyo uliyoyaona ni watu kuchakarika na mechi ya Dortmund tu....
 
Hujatueleza wenzetu huko ujeremani wanashughulika na kilimo gani
 
nitoe ufafanuz kidogo watu wanashangaa niliposema nauli ya kwenda tu million 5.7
hii hela n pmj na hotel ya nyota 2 niliofikia pale Frankfurt kwa cku 2, n pmj na matumiz yangu binafsi,pia ticket cku 1 kabla ya safari lazma hela I we juu
 
Back
Top Bottom