Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Asiwachoshe huyu hakwenda popote. Unaona anasema alitaka kwenda U-Swiss lakini visa ikagoam eti? Hajui kuwa ukiwa na visa ya Ujerumani hiyo hiyo inatumika mpaka u-Swiss kwani ni eneo la Schengen linalotumia visa moja. Na asidanganye kuwa hakujua kwani kama alimtembelea mtu anayeishi huko vitu kama hivi anavijua.
unajua Nina visa ya aina gani?
mnachekesha sana nyie wasakatonge
visa yangu ilikuwa ya cku 19 tu kwahiyo huko uswiss ningeendaj hebu kuweni na aibu
 
Asiwachoshe huyu hakwenda popote. Unaona anasema alitaka kwenda U-Swiss lakini visa ikagoam eti? Hajui kuwa ukiwa na visa ya Ujerumani hiyo hiyo inatumika mpaka u-Swiss kwani ni eneo la Schengen linalotumia visa moja. Na asidanganye kuwa hakujua kwani kama alimtembelea mtu anayeishi huko vitu kama hivi anavijua.
unajua Nina visa ya aina gani?
mnachekesha sana nyie wasakatonge
visa yangu ilikuwa ya cku 19 tu kwahiyo huko uswiss ningeendaj hebu kuweni na aibu
 
Asiwachoshe huyu hakwenda popote. Unaona anasema alitaka kwenda U-Swiss lakini visa ikagoam eti? Hajui kuwa ukiwa na visa ya Ujerumani hiyo hiyo inatumika mpaka u-Swiss kwani ni eneo la Schengen linalotumia visa moja. Na asidanganye kuwa hakujua kwani kama alimtembelea mtu anayeishi huko vitu kama hivi anavijua.
unajua Nina visa ya aina gani?
mnachekesha sana nyie wasakatonge
visa yangu ilikuwa ya cku 19 tu kwahiyo huko uswiss ningeendaj hebu kuweni na aibu
 
Wewe jamaa vipi? Unajua visa ya German ni nini? Hivi unajua maana ya Shenzhen visa kweli?
visa yangu ilikuwa ya almost 19 days sasa ingekuwaje validy kwa cku ngapi wakat cku zilikaribia kuisha?
muwe mnafikiria kabla ya Ku judge
 
Wewe jamaa vipi? Unajua visa ya German ni nini? Hivi unajua maana ya Shenzhen visa kweli?
visa yangu ilikuwa ya almost 19 days sasa ingekuwaje validy kwa cku ngapi wakat cku zilikaribia kuisha?
muwe mnafikiria kabla ya Ku judge
 
unajua Nina visa ya aina gani?
mnachekesha sana nyie wasakatonge
visa yangu ilikuwa ya cku 19 tu kwahiyo huko uswiss ningeendaj hebu kuweni na aibu
Teh... kiufupi waambie ulienda ila taratibu hukua unazijua. Maswali yatapungua.

labda haukutaka kutembea tu boss hapo Frankfurt kuingia Uswiss hasa Zurich ni fasta tu masaa kama 5... na kwa viza yako ungekatisha tu.

Na hiyo kampuni ya berlin ya ndege haifanyi tena shughuli zake toka mwaka jana... au wameanza?
 
Weka picha sio unaongea tuu...we utakuwa lbda ulienda kilwa masoko wewe
 
unajua Nina visa ya aina gani?
mnachekesha sana nyie wasakatonge
visa yangu ilikuwa ya cku 19 tu kwahiyo huko uswiss ningeendaj hebu kuweni na aibu
Mangi, hata ikiwa ni visa ya siku moja bado kama unataka unaweza kwenda. Ni fedha yako tu. Siku 19 ni nyingi mno mno na Ujerumani na Uswiss ni rahisi sana sana kama una nia na fedha. Usafiri ni wa kumwaga na mzuri.
 
Nauli hiyo kubwa sana kwa one way
ni pmj na garama ya hotel cku 2 ya nyota 2,n pmj na dola 200 nilizoibiwa na matumiz mengine
zingatia kuwa nilipanda bussnes class
ka million tano n hela ya bia tu mkuu sio nying
 
Nauli hiyo kubwa sana kwa one way
ni pmj na garama ya hotel cku 2 ya nyota 2,n pmj na dola 200 nilizoibiwa na matumiz mengine
zingatia kuwa nilipanda bussnes class
ka million tano n hela ya bia tu mkuu sio nying
 
Mangi, hata ikiwa ni visa ya siku moja bado kama unataka unaweza kwenda. Ni fedha yako tu. Siku 19 ni nyingi mno mno na Ujerumani na Uswiss ni rahisi sana sana kama una nia na fedha. Usafiri ni wa kumwaga na mzuri.
niliogopa nisije kamatwa "nji" za watu sasa hivi nafanya mchakato nataka nije kutembelea uswiss,Italy na Spain
 
Mangi, hata ikiwa ni visa ya siku moja bado kama unataka unaweza kwenda. Ni fedha yako tu. Siku 19 ni nyingi mno mno na Ujerumani na Uswiss ni rahisi sana sana kama una nia na fedha. Usafiri ni wa kumwaga na mzuri.
niliogopa nisije kamatwa "nji" za watu sasa hivi nafanya mchakato nataka nije kutembelea uswiss,Italy na Spain
 
Mangi, hata ikiwa ni visa ya siku moja bado kama unataka unaweza kwenda. Ni fedha yako tu. Siku 19 ni nyingi mno mno na Ujerumani na Uswiss ni rahisi sana sana kama una nia na fedha. Usafiri ni wa kumwaga na mzuri.
niliogopa nisije kamatwa "nji" za watu sasa hivi nafanya mchakato nataka nije kutembelea uswiss,Italy na Spain
 
Teh... kiufupi waambie ulienda ila taratibu hukua unazijua. Maswali yatapungua.

labda haukutaka kutembea tu boss hapo Frankfurt kuingia Uswiss hasa Zurich ni fasta tu masaa kama 5... na kwa viza yako ungekatisha tu.

Na hiyo kampuni ya berlin ya ndege haifanyi tena shughuli zake toka mwaka jana... au wameanza?
wengi sana wanauliza air Berlin
n kuwa ilikumbwa na mdororo wa uchumi ila imebaki na ndege chache
nikiwa pale koln nilishuhudia ikitoka koln kwenda monchengledbach
pia huwa INA ruti ya Munich_Rostov
 
Back
Top Bottom