Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.

baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.

Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced

Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu

Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund

Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal

Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.
uandishi wako haujatulia!!,kwa mtu asiye mwelewa ataona km unajisifia
Yes indeed haujatulia na ni kweli umelenga katika kuwatanabaisha wana forum kuwa ulikwenda German. In fact mimi binafsi nilidhani utajikita katika kufafanua uchakarikaji wao hasa ukichukulia kicha cha habari.

Pili nilitaraji kuona ufafanuzi wa vibaka ambao wewe umewaita wame-advance! The 200 USD take from your shirt pocket sidhani kama kuna wafanya hao vibaka kuwa advance......we have more knowledgeable pick pockets in kariakoo than elsewhere.
 
Kweli mkuuu mi ninaenda uswisi kesho tatizo LA kule ni racism Frankfurt nilishawahi fikka kwenye mji unaitwa Marburg
 
Mwaka jana kuna mzungu mmoja alitueleza kuwa kule kwao ukianza kuwaeleza wenzio kuwa umetoka afrika kwa tour, wanaanza visa na wewe. Wanakuwa na wivu kubwa wanakuona umewashinda, hivo anachofanya ni kubandika tu picha, michoro tu na kuweka vinyago sebuleni. Hayo ndo yatajieleza umetoka tour afrika ili wenye wivu waumie mioyo kimya kimya waonapo hayo. Wanakataa kushindwa, na wao huanza kuwekeza baada ya miaka chache wanakuja tour afrika
 
Ngoja nikutafutie ndege ya kutoka moja kwa moja KIA Via Mombasa to Germany... Ukifanya booking mapema miezi miwili au mitati kabla nauli una weza kuta dollars 500 mpaka 800... Kuna ndgu yangu huwa ana tumia sana hiyo root ana niambia Mara nyingi ni wanafunzi na watalii ndio wanatumia sababu ya unafuu wa gharama
Ala! Umekunywa waragi au? Nilishakuomba unitafutie ndege mimi?
 
cjaona,picha cjui Ku attach
Unajua unapotoa maelezo yakaacha mashaka lazima watu wakuulize mwaswali na unatakiwa uyajibu vzr! Umeulizwa mbona hakuna ndege ya Ethiopian ya kutoka KIA mpaka Dubai? Kwa nini hamkupitia Addis Ababa ambapo ndio kwenye ngome ya Ethiopian? Ukajibu wewe ni mgeni na pengine mlipitia lakini hukujua! Sasa huoni hili jibu ni kichekesho? Hivi ndege imekuwa dala dala ambayo inaweza kupita kituoni bila mtu kujua? Huoni ukimweleza mtu aliyewahi kusafiri na ndege kupitia Addis Ababa atakucheka sana? Ina maana uliteremka kwenye ndege na kubadilisha nyingine huku umelala na hujui kinachoendelea?
 
Ndege haina second class mkuu hapo ndio unapoharibu.

1st class


Bussiness class


Economy class


Labda kama ww ulipanda treni ya TRL
namaanisha daraja LA pili yaan bussnes sio kila MTU anajua maana ya bussnes
 
Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.

baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.

Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced

Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu

Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund

Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal

Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.

Hujatoa report bado
 
Unajua unapotoa maelezo yakaacha mashaka lazima watu wakuulize mwaswali na unatakiwa uyajibu vzr! Umeulizwa mbona hakuna ndege ya Ethiopian ya kutoka KIA mpaka Dubai? Kwa nini hamkupitia Addis Ababa ambapo ndio kwenye ngome ya Ethiopian? Ukajibu wewe ni mgeni na pengine mlipitia lakini hukujua! Sasa huoni hili jibu ni kichekesho? Hivi ndege imekuwa dala dala ambayo inaweza kupita kituoni bila mtu kujua? Huoni ukimweleza mtu aliyewahi kusafiri na ndege kupitia Addis Ababa atakucheka sana? Ina maana uliteremka kwenye ndege na kubadilisha nyingine huku umelala na hujui kinachoendelea?
nimepitiwa wakt nakujibu
pia ktk post nimepitiwa hiz n errors ndogondgo za kiuandshi
 
Umeeleza kama umehadithiwa.

Yani hakuna ulicho kiona ambacho sisi tunawezabona ni kipya au cha ajabu.

Nina wasiwasi na stori yako kuwa ya kusimuliwa na mwezio.
 
Mkuu ni one trip au one way ticket
trip moja
hii n pmj na garama ya kulala hotel cku 2, ya nyota 2,n pmj na dola 200 nilizoibiwa,n pmj na matumiz yangu
na yote kwa yote ticket nilikata cku mbili kabla ya safar na nilipanda daraja LA pili
 
Back
Top Bottom