zama zimebadilika usikariri mara ya mwisho ilikuwa lini kupanda etihad?Etihad toka Amsterdam hadi Dubai?? ndo leo nasikia hii. Najua Etihadi zinapitia Abu Dhabi....
Huna ulijualo wewe endelea tu kuishi maisha ya kufikirika,ulimbukeni tu ndio unaokusumbua.miarabu kilichowabeba n mafuta tu
wasingekuwa na mafuta cjui wangekuaje
kule uarabuni wataalam wote n wagen hakuna mwarabu mtaalam labda awe junior sana,miarabu haijasoma
Ninyi ndo hamjui hata CCM ni nini!
"Never argue with stupid people. They will drag you down to their level and beat you with experience"zama zimebadilika usikariri mara ya mwisho ilikuwa lini kupanda etihad?
unajua etihad wana madege mangapu?
"Never argue with stupid people. They will drag you down to their level and beat you with experience"[/QUOkipimo cha mjinga n matus
Mkuu unazidi kuonyesha uongo wako. Suala sio Etihad wana ndege nyingi kuna nyingine zinaenda Dortmund na nyingine Dusseldorf. Hakuna ndege ya Etihad inaenda Dortmund, hata kama wana ndege 10,000. Suala ni kwamba haiwezekani kuwa ulisafiri toka Germany ukaenda Uholanzi kwa Etihad. Hakuna kitu cha namna hiyo kuonyesha kuwa hii hadithi umetunga kujipa ujiko tu kuwa ulkuwa Germany. Waulize wazoefu wa safari kwa nini nasema wewe ni mwongo kuwa ulisafiri kwa Etihad toka Germany kwenda Uholanzi.umekariri kuwa lazma itoke Düsseldorf ? kwan etihad wana ndege moja?
kama wewe ulipanda etihad ukapita Dusseldorf had Abu Dhabi usikariri zama zmebdlk
Meku Sasa ulitoa Maelezo in a very brief ndo maana uliacha maulizo sanawewe mcheku bhana
ungeuliza kwann
hapo nilikata ticket cku moja kabla ya safari maana ilikuwa ya kushtukiza kutokana na suala LA visa
pia hiyo Pesa n pmj na malaz unajua pale Frankfurt nililala hotel ya nyota 2 na pia nikaibiwa dola 200 jaman ka million 5 hakaishi hapo?
ohooo hapo sawa mchekuMeku Sasa ulitoa Maelezo in a very brief ndo maana uliacha maulizo sana
naam it was very interestingHongera sana mkuu ni ndoto yangu pia
Wewe jamaa vipi? Unajua visa ya German ni nini? Hivi unajua maana ya Shenzhen visa kweli?naam hata German ubaguz upo ila sio kivile sii kama kwa miarabu,wazungu wamestaarabika
Frankfurt nilikaa cku mbili mkuu
nilitaka pia kutembelea uswiss ila visa ikasumbua,maana uswiss na ujeruman sio mbali kivile
Kwani unaamini huyu mtu alisafiri kwenda huko?Etihad toka Amsterdam hadi Dubai?? ndo leo nasikia hii. Najua Etihadi zinapitia Abu Dhabi....
Kwa mashambuliZi haya mtoa mada atajuta kuifahamu JFKwani unaamini huyu mtu alisafiri kwenda huko?
Huyu kama alishawahi kusafiri basi ni kwa treni au bus hayo ya ndege na wapi wapitie ni bahar kwake utamuonea bure kama utamuuliza hayo maswali.
ilikuwa mara yako ya kwanza kwenda ulaya mkuu?Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.
baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.
Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced
Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu
Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund
Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal
Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.
Asiwachoshe huyu hakwenda popote. Unaona anasema alitaka kwenda U-Swiss lakini visa ikagoam eti? Hajui kuwa ukiwa na visa ya Ujerumani hiyo hiyo inatumika mpaka u-Swiss kwani ni eneo la Schengen linalotumia visa moja. Na asidanganye kuwa hakujua kwani kama alimtembelea mtu anayeishi huko vitu kama hivi anavijua.ilikuwa mara yako ya kwanza kwenda ulaya mkuu?
ndio mkuuilikuwa mara yako ya kwanza kwenda ulaya mkuu?
ndio mkuuilikuwa mara yako ya kwanza kwenda ulaya mkuu?
Mangi ukitaka kudanganya siku nyingine danganya kitu ulicho na uelewa nacho. Sio unakaa kwenye kijiwe cha mbege halafu unasikiliza story na wewe unakuja kuhadithia hapa.ndio mkuu