Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Waromania ni raia wa Romania,wamevamia sana Nchi zilizoendelea za Ulaya ya Magharibi, hasa miji mikubwa ya Ujerumani.
Hawafanyi kazi wao familia nzima baba, mama, mtoto, shemeji, mjukuu nk kazi yao ni ombaomba tu tena wanavizia sana wageni hasa Waafrika.
Wanajua sisi ngozi nyeusi tuna moyo wahuruma tunatoa .


Muulize JijiPoji Hamburg wapo wengi sana.
Ni kweli Mkuu, pia wanauza miili yao
 
Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.

baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.

Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced

Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu

Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund

Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal

Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.

Hakuna ndege yoyote ya Ethiopian Airlines inayotoka Kilimanjaro Airport kwenda Dubai! Ikitoka Kilimanjaro destination ni Addis Ababa, na pale ndio unapata ndege nyingine ya kuelekea unakotaka kwenda! Swali ni kwamba ulikuwa na shughuli yoyote Dubai? Kama sio, kwa nini utoke Addis uzungukie Dubai ili uende Frankfurt? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili simulizi lako!
 
Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.

baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.

Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced

Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu

Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund

Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal

Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.

Tourism bila picha!! Sawa na zero
 
Hakuna ndege yoyote ya Ethiopian Airlines inayotoka Kilimanjaro Airport kwenda Dubai! Ikitoka Kilimanjaro destination ni Addis Ababa, na pale ndio unapata ndege nyingine ya kuelekea unakotaka kwenda! Swali ni kwamba ulikuwa na shughuli yoyote Dubai? Kama sio, kwa nini utoke Addis uzungukie Dubai ili uende Frankfurt? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili simulizi lako!
Mkuu I raised the same concern...
 
Haijafilisika, juzi tu nilikua Germany, na linafanyakazi kama kawaida...nilifly from Koln/Bonn Airport to Berlin na Air Berlin

Acha kudanganya watu kijana! Ndege ya mwisho ya Air Berlin iliruka 27.10.2017 kutokea Munich Airport 21:36 Hrs na kutua Berlin Airport 22:45 Hrs - Airbus A320 D ABNW!
 
kwa hiyo umejifunza nini huko?au ulienda kuzurura tu
 
P0
Q1q1qqat\aq\aaaaqqqqq1q9nrdxI'll
M
Ľ0l
 
ndio Ethiopia airline wana ndege moja inayotoka one way hadi Dubai,ila nyingi zinapitia adis Ababa kwanza
Uongo mwingine hauna maana, kwanini usiulize kwanza kabla ya kuandika? Hakuna Ethiopian airline inayoruka direct to Dubai bila kwenda Adis ababa wakitikea KIA, ungejisomea hata google tu ndio ukaja na fix zako ungeeleweka, na hiyo one trip ya 2800usd ulipanda 1st class ya shirika gani.
 
Back
Top Bottom