Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

Hukuona mashoga huko yakirandaranda? Weka na picha basi
 
Sijui kwa nini huwa nashangaa ninaposikia mzungu kibaka.
 
Kuna mtu alikuja Tz kutoka USA mmoja mwezi wa 6 mwaka jana mwingine mwezi wa 12, ila nauli yao go and return haikufika 3M sasa hii yako imebishangaza
inategemea alikata tiketi mda gani, na alipanda ndege daraja gan nauli ya ndege sio kama daladala it varies
 
Uongo mwingine hauna maana, kwanini usiulize kwanza kabla ya kuandika? Hakuna Ethiopian airline inayoruka direct to Dubai bila kwenda Adis ababa wakitikea KIA, ungejisomea hata google tu ndio ukaja na fix zako ungeeleweka, na hiyo one trip ya 2800usd ulipanda 1st class ya shirika gani.
Huyu atakuwa anasema ukweli ila hajielewi.
kuna vitu anamix
 
Uongo mwingine hauna maana, kwanini usiulize kwanza kabla ya kuandika? Hakuna Ethiopian airline inayoruka direct to Dubai bila kwenda Adis ababa wakitikea KIA, ungejisomea hata google tu ndio ukaja na fix zako ungeeleweka, na hiyo one trip ya 2800usd ulipanda 1st class ya shirika gani.
acha papara mkuu
unajua tiketi nilikata cku ngapi kabla ya safari?
je unajua nilipanda daraja LA ngapi? vitu vingine uwe unafikiria
kuhusu Ethiopia airline kutua ads Ababa,huenda ni ugeni wangu wa safari nkashindwa Ku tambua
 
Acha uongo wewe 5mln one trip ulipanda daraja gani? Then Etihad siku hizi connection inafanya Dubai?
nilikata tiketi mda mfupi kabla ya safari ndio maana
nilipanda second class pia hiyo n pmj na garama za hotel niliofikia mjin Frankfurt
 
Dec nilikua huko....nilikaa sana Koln na Bonn...mm sijaibiwa kama Wewe Mkuu..hahahaha
inawezekana n ushamba wangu mkuu
lugha n changamoto kwangu kule hawajui English n kijeruman tu,mwenyeji wangu alini save sana yy anajua pure German
 
Ni kweli Mkuu, pia wanauza miili yao
duh sikujua haya wakuu
kumbe wazungu nao n choka mbaya sana sema hawamulikwi
kwahiyo maisha yao yanaendeshwa kwa kuombaomba daily?
nilivyoona bila kaz pale German huwez kuish
 
VP GARAMA ZA SAFARI KWA SIKU KM UTAKAA HOTELINI
hiyo million 5.7 n pamj na garama ya hotel niliokaa cku 2 pale Frankfurt na usafiri wa tren
pia tiketi ya ndege nilikata mda mfupi kabla ya safari nilipanda second
 
Hakuna ndege yoyote ya Ethiopian Airlines inayotoka Kilimanjaro Airport kwenda Dubai! Ikitoka Kilimanjaro destination ni Addis Ababa, na pale ndio unapata ndege nyingine ya kuelekea unakotaka kwenda! Swali ni kwamba ulikuwa na shughuli yoyote Dubai? Kama sio, kwa nini utoke Addis uzungukie Dubai ili uende Frankfurt? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili simulizi lako!
nilifanyiwa connection hiyo na wakala wangu ambaye ninae huku mm sio mzoefu wa safar hiz
 
Hakuna ndege yoyote ya Ethiopian Airlines inayotoka Kilimanjaro Airport kwenda Dubai! Ikitoka Kilimanjaro destination ni Addis Ababa, na pale ndio unapata ndege nyingine ya kuelekea unakotaka kwenda! Swali ni kwamba ulikuwa na shughuli yoyote Dubai? Kama sio, kwa nini utoke Addis uzungukie Dubai ili uende Frankfurt? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili simulizi lako!
nilifanyiwa connection hiyo na wakala wangu ambaye ninae huku mm sio mzoefu wa safar hiz
 
Wakuu mpo pouwa?
Miez miwili iliyopita nilikuwa na tour yangu binafsi nchini Ujerumani, safari yangu ilianzia ktk uwanja wa kimataifa wa Kilimanjaro airport hadi Dubai nikitumia Ethiopian airline.

baada ya kufika Dubai nilichukua air Berlin hadi uwanja wa kimataifa wa Frankfurt ujerumani
nilikaa mjini Frankfurt siku mbili kabla ya kupanda treni ya umeme hadi ktk mji uitwao Cologne (koln) ambapo nilikutana na ndugu yangu ambaye ni padre wa kanisa katoliki.

Nilichokiona huko ni kuwa watu wa kule wapo busy sana hawana hata sekunde moja ya kupoteza, wanachakarika sana yaani, vile vile sitasahau siku hiyo nikiwa natoka Frankfurt kwenda koln niliporwa Pesa kama dola 200 nilikuwa nimeziweka mfuko wa mbele wa shati kumbe kuna vibaka kama huku sema wapo more advanced

Mwenyeji wangu aliniambia kuwa vibaka na matapeli wapo sana tu

Siku moja tukasafiri hadi mjini Dortmund kumsabahi padre mmoja hivi mtanzania jina lake padre Mosha nilienjoy sana siku hiyo nilipelekwa hadi uwanja wa mpira ktk mechi ya Borrusia Dortmund ilikuwa ikicheza na timu iitwayo Hertha Berlin ktk uwanja uitwao signal iduna arena hapo mjini Dortmund

Nilimuona live Aubemyang aliekuwa mchezaji wa Dortmund kabla ya kuja Arsenal

Basi nilimaliza ziara yangu ya siku 15 huko German na nikarejea bongo wakati nikirudi nilitumia etihad aiways nikapita Amsterdam Uholanzi then tukapumzika kidgo safari ikaanza hadi Dubai baadae. Nikachukua Ethiopia airline hadi Kilimanjaro international airport
I enjoyed my tour.
Mbona route ndefu sana hiyo au ilikuwa ya bei rahisi au, ukichuua qatar airline mnaweza mkalala qatar tu na wanalipia wao au mnabadili ndege kutoka hapo ni moja kwa moja kwenda final destination dah ulichoka sana ETIHAD, ETHIOPIAN Mhhh
 
Hakuna ndege yoyote ya Ethiopian Airlines inayotoka Kilimanjaro Airport kwenda Dubai! Ikitoka Kilimanjaro destination ni Addis Ababa, na pale ndio unapata ndege nyingine ya kuelekea unakotaka kwenda! Swali ni kwamba ulikuwa na shughuli yoyote Dubai? Kama sio, kwa nini utoke Addis uzungukie Dubai ili uende Frankfurt? Kuna kitu hakiko sawa kwenye hili simulizi lako!
nilifanyiwa connection hiyo na wakala wangu ambaye ninae huku mm sio mzoefu wa safar hiz
 
Mbona route ndefu sana hiyo au ilikuwa ya bei rahisi au, ukichuua qatar airline mnaweza mkalala qatar tu na wanalipia wao au mnabadili ndege kutoka hapo ni moja kwa moja kwenda final destination dah ulichoka sana ETIHAD, ETHIOPIAN Mhhh
n kweli nilichoka sana,connection nilifanyiwa na MTU maana mm n mgeni
nilipofka Frankfurt nilikaa cku mbili hotelin kwa uchovu
 
Back
Top Bottom