Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Mfano ni mkoani Singida, familia tatu zinawalilia ndugu zao walio tekwa na watu wasiojulikana.
Familia mbili za huko Wilaya ya Iramba, zinazoishi karibu na Loya, zinalia kupotelewa na wafanyabiashara wa mazao jinsia yao ni wanaume wawili. Wawili hao inasemekana walitekwa na gari nyeupe aina ya Toyota LC. Na tukio hilo lilitukia tokea Oktoba mwaka jana.
Tukio jingine fanani na hilo limetukia ndani ya Manispaa ya Singida, likiwahusisha wafanyabiashara wa mbao nao ni wawili wa familia moja. Kama sikosei, walitekwa na gari fanani na ile iliyotajwa hapo juu na kwa ufanano uleule wa utekwaji. Nao ni wanaume.
Kipi kinaendelea kwa aina hiyo ya kutoweshwa!?
Familia mbili za huko Wilaya ya Iramba, zinazoishi karibu na Loya, zinalia kupotelewa na wafanyabiashara wa mazao jinsia yao ni wanaume wawili. Wawili hao inasemekana walitekwa na gari nyeupe aina ya Toyota LC. Na tukio hilo lilitukia tokea Oktoba mwaka jana.
Tukio jingine fanani na hilo limetukia ndani ya Manispaa ya Singida, likiwahusisha wafanyabiashara wa mbao nao ni wawili wa familia moja. Kama sikosei, walitekwa na gari fanani na ile iliyotajwa hapo juu na kwa ufanano uleule wa utekwaji. Nao ni wanaume.
Kipi kinaendelea kwa aina hiyo ya kutoweshwa!?