Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

Status
Not open for further replies.
Dada Salma habari yako, umesema kwamba wazazi wako ni waislam kwa hiyo na wewe ukajikuta unaangukia huko, naomba nikuulize hivi je huo uislam wako wewe ni wa kurithi tu kwa kuwa baba na mama ni waislam au uliusoma uislam na ukajua taratibu zake?.
Maana unaweza ukajifariji kuwa umetetea upendo wako lakini hukujua kile ulichokiacha kwa sababu ya upendo kina thamani gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kuvuka salama.umenipa changamoto nimepitia wakati kama Wako always upande WA familia wametaka nibadili dini kuwa upande WA Pili. Nashukuru mwanamke ananipenda na tunapendana haswa.Upendo kwetu Ni mkubwa kuliko chochote.
 
Hongera kwa kuvuka salama.umenipa changamoto nimepitia wakati kama Wako always upande WA familia wametaka nibadili dini kuwa upande WA Pili. Nashukuru mwanamke ananipenda na tunapendana haswa.Upendo kwetu Ni mkubwa kuliko chochote.
Usikate tamaa
 
Usiseme kwamba ulikuwa na dini yaani umeshiba uislam .... mwislam anayejielewa hawezi kuingia kwenye ukafiri...

Shime mabinti wa kiislam msiwe inspired na mtu huyu.... aliyepotea .. kuamua kuachanana kumcha ALLAH S.W na kwenda Kuabudu masanamu! ... Dini yako iwe muongozo kwako ,...
 
Dada Salma habari yako, umesema kwamba wazazi wako ni waislam kwa hiyo na wewe ukajikuta unaangukia huko, naomba nikuulize hivi je huo uislam wako wewe ni wa kurithi tu kwa kuwa baba na mama ni waislam au uliusoma uislam na ukajua taratibu zake?.
Maana unaweza ukajifariji kuwa umetetea upendo wako lakini hukujua kile ulichokiacha kwa sababu ya upendo kina thamani gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna nisichokijua hata wewe ukitaka nikufundishe tafuta muda..kifupi Nina amani maina nipo kwenye mwanga zaidi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom