Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,639
- 220,411
Hii story yako inamikumbusha dada mmoja kule Tanga yeye alikuwa mkristo alipata boy friend half caste wa ki-Arabu, yule kijana baba yake alikuwa Dubai binti wazazi walimgomea kubadili dini akatia ngumu aliolewa na jamaa kwakweli walipendana.
Wazazi sasa hivi hawajali tena tofauti yake ya dini yeye ndiye amewajengea nyumba kwa msaada wa mume wake na amewafungulia biashara.
Wazazi sasa hivi hawajali tena tofauti yake ya dini yeye ndiye amewajengea nyumba kwa msaada wa mume wake na amewafungulia biashara.