Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,010
- 54,155
Asante kwa ku share nasi
sent from my Tecno W3
sent from my Tecno W3
halina ubaya.lakini wakristo hawamtambui wala kumkubali Allah. Je wewe unamtambua na unamkubali Allah?Lina ubaya gani likitumika?
Mkuu heshima kwako,mkuu mungu wa waislam si mungu wa wakristo au wa dini yeyote, kila wenye imani yao wana mungu wao na kuthibitisha hilo ndo maana wenye kuabudu jua mungu wao ni JUA wenye kuabudu MOTO mungu wao anaitwa moto pia waislam mungu wao ni ALLAH wakristo nao wako kwa BWANA YESU, kwa hiyo kauli ya mungu wetu ni mmoja mnh! si sawa.njiwa KWANI WEWE UNA UHAKIKA KUWA UTAIONA PEPO? UMETENDA DHAMBI NGAPI HAPA DUNIANI MPAKA UNAMHUKUMU MTU ALIYEBADILI DINI?
KUBADILI DINI SIYO KUMBADILI MUNGU, MUNGU NI MMOJA TU NA DINI NI NJIA TU YA MAWASILIANO KATI YA BINADAMU NA MUNGU.. HVYO KUITWA MUISLAMU HUKU UKITENDA DHAMBI HAIKUONDOLEI ADHA YA MOTO HUKO JEHANAMU.. KABLA YA KUMHUKUMU MWENZAKO JIHAKIKISHE KUWA WEWE NI MSAFI KWA 100%
ALIYERITHI DINI NI MPUMBAVU KULINGANISHA NA MTU ALIYEINGIA KATKA DINI AKIWA NA AKILI ZAKE TIMAMU.
Kwa hesabu za haraka kutoka 2008 mpaka sasa ni kama miaka 9, nikitoa miaka 3 ya ualimu inabaki 6. Miaka 6 tu mmeuaga umaskin na kuajiri watu 300, si mchezo sijui mna kiwanda
Hata kwa miaka mi2 inawezekana. Acha uzembe wa fikraKwa hesabu za haraka kutoka 2008 mpaka sasa ni kama miaka 9, nikitoa miaka 3 ya ualimu inabaki 6. Miaka 6 tu mmeuaga umaskin na kuajiri watu 300, si mchezo sijui mna kiwanda
Dini zote tunarithi mkuu. Kwanza unarithi alafu ndo unafundishwa dogma. Laiti wangekuwa wanatuacha mpaka tunafikisha miaka 18 ndio waanze kutufundisha ili tuchague wenyewe kaa tuakubali au lah! huenda hata wewe hiyo dini uliyo nayo usingekuwa na hiyo.Dada Salma habari yako, umesema kwamba wazazi wako ni waislam kwa hiyo na wewe ukajikuta unaangukia huko, naomba nikuulize hivi je huo uislam wako wewe ni wa kurithi tu kwa kuwa baba na mama ni waislam au uliusoma uislam na ukajua taratibu zake?.
Maana unaweza ukajifariji kuwa umetetea upendo wako lakini hukujua kile ulichokiacha kwa sababu ya upendo kina thamani gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi jifunze kunyamaza maana kila mtu ana Uhuru wa kuchagua anachokiamini
Murtad atanisaidia nini mimi niliyekatika Ṣirāṭ al-mustaqīm..?
Mwanamke hana diniHii story yako inamikumbusha dada mmoja kule Tanga yeye alikuwa mkristo alipata boy friend half caste wa ki-Arabu, yule kijana baba yake alikuwa Dubai binti wazazi walimgomea kubadili dini akatia ngumu aliolewa na jamaa kwakweli walipendana.
Wazazi sasa hivi hawajali tena tofauti yake ya dini yeye ndiye amewajengea nyumba kwa msaada wa mume wake na amewafungulia biashara.
Najua lkn hayo maneno yao hayatabadiri nilichoamua, tunaishi Leo kesho tunaifikia kwa imani pamoja na hilo si kila mwenye imani ya kuifikia kesho huifikiaStory yako itafanya watu wajisikie vibaya, we haya tu[emoji12] Humu stories zenye positive ending huwa hazipendwi, utaambiwa it's just a matter of time Allex atakuletea watoto wa nje[emoji12].
Mkuu heshima kwako,mkuu mungu wa waislam si mungu wa wakristo au wa dini yeyote, kila wenye imani yao wana mungu wao na kuthibitisha hilo ndo maana wenye kuabudu jua mungu wao ni JUA wenye kuabudu MOTO mungu wao anaitwa moto pia waislam mungu wao ni ALLAH wakristo nao wako kwa BWANA YESU, kwa hiyo kauli ya mungu wetu ni mmoja mnh! si sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app