China ni nyepesi ukiwa na Visa Kuna nini tena na China usalama upo kidogo tofauti na huko alikoenda jamaa kwanza anaenda kutafuta maisha sio kununua mzigo maana kama kununua mzigo napo SA ni rahisi mzigo unanunuliwa sehemu moja tuu dragon city na China City...na China sehemu za kununua ukinunua unawapa jina la kampuni watakayobeba mzigo mimi sijaona kote ugumu wake wengine wanazunguka Singapore,Skorea,Vietnam,Thailand na Cambodia kufunga mizigo na yote ilikua inafika Tanzania kabla ya mzee baba kuharibu mfumo..Ukimaliza itabidi na mimi nitoe yangu ya siku kwenda China kufunga mzigo bila ndugu rafiki wala nini
Yes..bedMna hustle wapi vitandani au wapi?(utani)
Ulipanda basi sioUkimaliza itabidi na mimi nitoe yangu ya siku kwenda China kufunga mzigo bila ndugu rafiki wala nini
Nakuelewa sana mzee baba...noma sanaWangari Darling ogopa kupigika.
😀😀😀Wanaume tumeumbiwa mateso
🤣😂😄Naona jamaa kapotea mazima