Hat na mm bard ya dsm ashushe tu hat Kam chaiNaweka kambi hapa
😂 😂 😂Unaendelea au ndo imeisha mzee wangu???
Sio chai mpaka hapo yupo sawa kabisa,baridi ya Tunduma na pale boda wanavyopenda sana rushwa,mi nilibananishwa chanjo ya yellow fever wakanila elfu arobainiHat na mm bard ya dsm ashushe tu hat Kam chai
Njia yangu hiyo wakati nikiwa Trucker nilishawahi kumpa hike binti wa KiIrish alikuwa anatokea Cape town anaenda CairoSio chai mpaka hapo yupo sawa kabisa,baridi ya Tunduma na pale boda wanavyopenda sana rushwa,mi nilibananishwa chanjo ya yellow fever wakanila elfu arobaini
Watu kama nyie hamkosiNjia yangu hiyo wakati nikiwa Trucker nilishawahi kumpa hike binti wa Irish alikuwa anatokea Cape town anaenda Cairo
Kutoka Kapiri nikaenda kumla pale Chalinze halafu nikampakia Truck lkuelea Arachuga
We noma,baharia wa kimataifa.Njia yangu hiyo wakati nikiwa Trucker nilishawahi kumpa hike binti wa Irish alikuwa anatokea Cape town anaenda Cairo
Kutoka Kapiri nikaenda kumla pale Chalinze halafu nikampakia Truck lkuelea Arachuga
Wala sikujali, aliniambia katokea Republic of Ireland wakati huo 2006 nilikuwa nikifikiri ni Nchi za umoja wa Kisoveti kwenye njaaWe noma,baharia wa kimataifa.
Hujachukua namba yake?
Kasema inaendeleaMkuu kama utasitisha stori hadi kesho basi itujuze ili tulale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 story unatoa bure na matusi unapewa.Mkuu, story nzuri ila unaweka fupi sana, jitahidi kuandika ndefu kidogo kama Mara 3 ya episode hii... Vinginevyo wakurungwa watakutana sana humu na utajikuta unakatisha story kwa maneno ya kejeli!