Prince kelly
Member
- Aug 29, 2017
- 41
- 42
Hellow wanajf muwazima, Kwanza samahani sina uandishi mzuri ila twende kazi tutaelewana.
Kabla sijakutana na huyu mwanamke nilikuwa na mpenzi wangu tuliekuwa tuna mahusiano ya kama miezi mitano so tunapendana tu pasi na shida. Changamoto. Ilianzia pale nilipohama kituo cha kazi nakuahamia kampuni nyingine ndipo apo nikaja kukutana na mwanamke mwingine katika hiyo kampuni mpyaa ni kweli mwanamke alikuwa mashalaa kaumbika mtoto shape ipo kama yote so katika hapa na pale tukawa marafk tu wakawaida so mimi sikuwa nimemtilia maanani nilikuwa namchukulia kama rafk tu maana alikuwa ni mwanmke mzuri ambaye nilikuwa najua siwezi nikawa nae katika mahusiano maana niliona sio type angu ni ya watu wa kubwaa na apo kazn waliokuwa wanamfuatilia ni wengi
So the girl tukawa marafiki tu wakawaida tunasaidiana kazi kumbe mtoto alishanielewa so kuna day akanifuata akaniambia kuna kitu anatka kuniambia ila anashindwaa kuanzia ata niambiaje me nikamuambia niambie tu be free kunieleza for that day alishindwa kunielezea kipi kina msibu motoni nikawa najiambia ata kuwa anataka kuniambia ananitaka au vipi so ikapita kama one day mtoto akajaniambia ananipenda ananitaka tuwe kwenye mahusiano for real sikuamini nilikuwa nazani ni utani na jinsi alivokuwa kaumbika nikasema how come mtoto mzuri aje afie kwa muhuni ambaye ana mbele wala nyuma na huku maboss wanamfukuzia.
Dah kusema kweli nilimkubalia nikamuambia nipo tayari kuwa nawe but nikamuambia nipo kwa mahusiano lakn akaniambia usijal me nakupenda am ready kuwa nawe nipe chance so lengo langu lilikuwa nikukula tu nakupita maana nilikuwa na mpenzi wangu so sikuwa nipo tayari nimuwchee so nilikiwa sitaki kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye tunafanya kazi sehemu moja nikiona ntashindwa kufanya kazi na ivo alivo mzuri ntakuwa na wivu juu yake.
So nikampanga siku aje gheto kweli akaja nikawa naona ndoto asee akaja ghetoo mtoto kwa bed fundi balaa asee mtoto ndo akazidi nichanganya nilikuwa na lengo la kula nakusepa nikajikuta namganda asee.
Ukweli nikajikuta nimekamatika na penzi lake nilikuwa sina mpango nae nikajikuta naanza kumpenda na kufikia ata kupunguza upendo kwa mpenzi wangu so tukaendelea akaja gheto mara ya pili tena ndo akanimaliza kabisaa lengo lakupita ndo likapotea nikajikuta nampendaa zaidi ja zaidi.
So kuna siku akajaniambia eti mdaa wote huo tunadate kumbe alikuwa ana jamaa ake anakaa nae gheto kabisa namimi akuniambia so sasa ananimbia yeye ndo atakuwa ananitafuta nisimtafute eti anadai ampendi uyo jamaa ake ananipenda mimi alikuwa namimi kwasababu alimfumania uyo jamaa ake na mwanamke mwingine so nikajikuta nimeingia kwenye mtego wakupenda mwanamke wa watu ndo akawa anadai toka jamaa ake aonee chat zangu na zake kamuomba msamaha so amemsamehe ila anadai ampendi tena ila kumuachaa jamaa ake ndo anadai awezi ukiangalia mimi sasa nishamuelewa mtoto mpaka najuta kwanini nilianzisha mahusiano nae nikisema nimkatie najikuta nashidwaa maana naonana nae kazn na tukiwa job anajifnaya ananipenda akienda home atuwasiliani mpaka najiona nimekuwa mtumwaa mpaka nashindwaa nafanyaje nina mpenzi ila sahv simpendi tena toka nikutane na huyu mwanamke wa watu
Kabla sijakutana na huyu mwanamke nilikuwa na mpenzi wangu tuliekuwa tuna mahusiano ya kama miezi mitano so tunapendana tu pasi na shida. Changamoto. Ilianzia pale nilipohama kituo cha kazi nakuahamia kampuni nyingine ndipo apo nikaja kukutana na mwanamke mwingine katika hiyo kampuni mpyaa ni kweli mwanamke alikuwa mashalaa kaumbika mtoto shape ipo kama yote so katika hapa na pale tukawa marafk tu wakawaida so mimi sikuwa nimemtilia maanani nilikuwa namchukulia kama rafk tu maana alikuwa ni mwanmke mzuri ambaye nilikuwa najua siwezi nikawa nae katika mahusiano maana niliona sio type angu ni ya watu wa kubwaa na apo kazn waliokuwa wanamfuatilia ni wengi
So the girl tukawa marafiki tu wakawaida tunasaidiana kazi kumbe mtoto alishanielewa so kuna day akanifuata akaniambia kuna kitu anatka kuniambia ila anashindwaa kuanzia ata niambiaje me nikamuambia niambie tu be free kunieleza for that day alishindwa kunielezea kipi kina msibu motoni nikawa najiambia ata kuwa anataka kuniambia ananitaka au vipi so ikapita kama one day mtoto akajaniambia ananipenda ananitaka tuwe kwenye mahusiano for real sikuamini nilikuwa nazani ni utani na jinsi alivokuwa kaumbika nikasema how come mtoto mzuri aje afie kwa muhuni ambaye ana mbele wala nyuma na huku maboss wanamfukuzia.
Dah kusema kweli nilimkubalia nikamuambia nipo tayari kuwa nawe but nikamuambia nipo kwa mahusiano lakn akaniambia usijal me nakupenda am ready kuwa nawe nipe chance so lengo langu lilikuwa nikukula tu nakupita maana nilikuwa na mpenzi wangu so sikuwa nipo tayari nimuwchee so nilikiwa sitaki kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye tunafanya kazi sehemu moja nikiona ntashindwa kufanya kazi na ivo alivo mzuri ntakuwa na wivu juu yake.
So nikampanga siku aje gheto kweli akaja nikawa naona ndoto asee akaja ghetoo mtoto kwa bed fundi balaa asee mtoto ndo akazidi nichanganya nilikuwa na lengo la kula nakusepa nikajikuta namganda asee.
Ukweli nikajikuta nimekamatika na penzi lake nilikuwa sina mpango nae nikajikuta naanza kumpenda na kufikia ata kupunguza upendo kwa mpenzi wangu so tukaendelea akaja gheto mara ya pili tena ndo akanimaliza kabisaa lengo lakupita ndo likapotea nikajikuta nampendaa zaidi ja zaidi.
So kuna siku akajaniambia eti mdaa wote huo tunadate kumbe alikuwa ana jamaa ake anakaa nae gheto kabisa namimi akuniambia so sasa ananimbia yeye ndo atakuwa ananitafuta nisimtafute eti anadai ampendi uyo jamaa ake ananipenda mimi alikuwa namimi kwasababu alimfumania uyo jamaa ake na mwanamke mwingine so nikajikuta nimeingia kwenye mtego wakupenda mwanamke wa watu ndo akawa anadai toka jamaa ake aonee chat zangu na zake kamuomba msamaha so amemsamehe ila anadai ampendi tena ila kumuachaa jamaa ake ndo anadai awezi ukiangalia mimi sasa nishamuelewa mtoto mpaka najuta kwanini nilianzisha mahusiano nae nikisema nimkatie najikuta nashidwaa maana naonana nae kazn na tukiwa job anajifnaya ananipenda akienda home atuwasiliani mpaka najiona nimekuwa mtumwaa mpaka nashindwaa nafanyaje nina mpenzi ila sahv simpendi tena toka nikutane na huyu mwanamke wa watu