Nilivyofurahia Bilicanas kuvunjwa

Nilivyofurahia Bilicanas kuvunjwa

Vipi kwa wazazi ambao watoto wao wamekuwa mateja kwa sababu kunywa madawa ya kulevya kwenye hiyo club?

Nao washangilie tu kwa sababu wewe ulikuwa unaingiza laki 2?
2.PNG
1.PNG
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki Lila siku ya club. Binafsi nilikuwa simpendi mbowe kwa sababu nilihisi ni Mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa. Nilikuwa namawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu. Sasaivi biashara nimefunga na haliyangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia mbowe yuko vizuri tu. Saivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana. Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua. Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
jambo jema kama umetambua hayo
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki Lila siku ya club. Binafsi nilikuwa simpendi mbowe kwa sababu nilihisi ni Mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa. Nilikuwa namawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu. Sasaivi biashara nimefunga na haliyangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia mbowe yuko vizuri tu. Saivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana. Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua. Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
ili usamehewe badili jina uwe kuku mkubwa!![emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki Lila siku ya club. Binafsi nilikuwa simpendi mbowe kwa sababu nilihisi ni Mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa. Nilikuwa namawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu. Sasaivi biashara nimefunga na haliyangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia mbowe yuko vizuri tu. Saivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana. Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua. Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.[/QUOTEile



"binafsi nilikuwa simpendi Mbowe.."

"wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni.."

''Nilikuwa na mawazo finyu...sikujua kuwepo kwa club ile ndio maendeleo ya biashara yangu.!!''

"biashara nimefunga na hali yangu mbaya sana kiuchumi..''

"NIMEGUNDUA WIVU NI MBAYA SANA"

~Mpende jirani yako kama nafsi yako.

*pole...roho mbaya haijengi
 
Roho ya korosho inakusumbua. Pole sana.
Huyu akili zake kama za jiwe.
Jiwe anamfunga mfanya biashara ambaye alikuwa analipa milioni karibia saba au nane za VAT kwa mwezi.

Hata hajiulizi kuwa atakosa hizo mil 8.
Matokeo yake sasa hivi anatoa toa macho tu.
Huyu akijidanganya uchaguzi usimamiwe na mawakala huru basi kaisha
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki Lila siku ya club. Binafsi nilikuwa simpendi mbowe kwa sababu nilihisi ni Mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa. Nilikuwa namawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu. Sasaivi biashara nimefunga na haliyangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia mbowe yuko vizuri tu. Saivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana. Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua. Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
Muuza chips Wa kushinda JF? Hahaaa bavicha jipange uje upya
 
Vipi kwa wazazi ambao watoto wao wamekuwa mateja kwa sababu kunywa madawa ya kulevya kwenye hiyo club?

Nao washangilie tu kwa sababu wewe ulikuwa unaingiza laki 2?
Kwani wewe ni moja ya mateja kwasababu ya club bilicana? Vipi wazazi wako wanajisikiaje?
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki Lila siku ya club. Binafsi nilikuwa simpendi mbowe kwa sababu nilihisi ni Mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa. Nilikuwa namawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu. Sasaivi biashara nimefunga na haliyangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia mbowe yuko vizuri tu. Saivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana. Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua. Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
Ma ccm yanadhani tajiri akikosa basi wao walala hoi utajiri utahamia kwao.
KUMNUNIA TAJIRI HAKUONDOI UMASIKINI WAKO
 
Hauko peke yako unayejuta kwa sera za kukurupuka, hata Jiwe ataku join soon!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom