Nilivyofurahia Bilicanas kuvunjwa

Nilivyofurahia Bilicanas kuvunjwa

Unaota nini? Hizo kampuni angekuwa nazo angekuwa anahangaika na shillingi billioni mbili. Mradi wake mkubwa alioachiwa na Wachagga wenzake ni CHADEMA, ndiyo maana haondoki. Janja yake ya kuikopesha CHADEMA na kuongeza maziro mbele iliishajulikana. Ndiyo maana wenye uwezo wa kisiasa wanapukutika tu kutoka CHADEMA. Kama wanadhani JIWE ndiye adui, mbona wamenyamaza kuwaondoa wale wabunge. Walisuka kuwaweka ndugu na wake zao, kumbe wanawake wale wakawazidi kete. Sasa wananuniana tu.
Akili za mchunga mbuzi bhana,sasa ukiwa tajiri ndio utakubali ku bambikiwa Kodi? Mbona walimfungia akaunti zake za biashara na binafsi tangu 2018 na hakuwahi kumsujudu jiwe? Jamaa Ana noti sio maskini kama wewe
Aliemfungia akaunti ametangulia ahera madukani amemuacha
 
Unaota nini? Hizo kampuni angekuwa nazo angekuwa anahangaika na shillingi billioni mbili. Mradi wake mkubwa alioachiwa na Wachagga wenzake ni CHADEMA, ndiyo maana haondoki. Janja yake ya kuikopesha CHADEMA na kuongeza maziro mbele iliishajulikana. Ndiyo maana wenye uwezo wa kisiasa wanapukutika tu kutoka CHADEMA. Kama wanadhani JIWE ndiye adui, mbona wamenyamaza kuwaondoa wale wabunge. Walisuka kuwaweka ndugu na wake zao, kumbe wanawake wale wakawazidi kete. Sasa wananuniana tu.
Akili za mchunga mbuzi bhana,sasa ukiwa tajiri ndio utakubali ku bambikiwa Kodi? Mbona walimfungia akaunti zake za biashara na binafsi tangu 2018 na hakuwahi kumsujudu jiwe? Jamaa Ana noti sio maskini kama wewe
Aliemfungia akaunti ametangulia ahera madukani amemuacha
 
Akili za mchunga mbuzi bhana,sasa ukiwa tajiri ndio utakubali ku bambikiwa Kodi? Mbona walimfungia akaunti zake za biashara na binafsi tangu 2018 na hakuwahi kumsujudu jiwe? Jamaa Ana noti sio maskini kama wewe
Aliemfungia akaunti ametangulia ahera madukani amemuacha
Nasikia account zimefunguliwa, aisee Kuna wakati najikuta Magu ananitoka rohoni Ila ndo vile nampenda Magu kwa uthubutu aliyouonesha.
 
Wakati club hii kongwe ilivyokuwa inaharibiwa mimi nilikuwa nafanya biashara ya chips pembezoni ya club. Kwakweli nilikuwa naingiza sio chini ya laki kila siku ya club.

Binafsi nilikuwa simpendi Mbowe kwa sababu nilihisi ni mwizi tu hivyo wakati club yake inaharibiwa nilifurai sana moyoni nikajua jizi limekamatwa.

Nilikuwa nina mawazo finyu kwasababu sikujua kuendelea kuwepo kwa club ile ndio ilikuwa maendeleo ya biashara yangu.

Sasa hivi biashara nimefunga na hali yangu mbaya sana kiuchumi na nikimuangalia Mbowe yuko vizuri tu.

Sasa hivi natamani bills irudi tu kama Zamani. Nimegundua wivu ni mbaya sana.

Unaweza hisi mwenzako akifilisika wewe ndio unapanda kumbe yeye ndio anaekufanya upate kipato bila kujijua.

Bora mbowe anisamehe na waliovunja club wapotee kabisa.
Taratibu walioaminishwa kuwa wengine ni majizi,na kujaa chuki wanatambua taratibu kuwa walidanganyika kuwa na chuki dhidi ya wengine na kwa uweza wa Mungu wengi zaidi watabadili njia zao mbaya na kuwa na upendo,na kuwaza mema kwa wengine.
 
Uthubutu wa kunyanyasa watu?
Sijasema uthubutu gani Ila moja wapo ni uthubutu wa kujenga reli ya kisasa, bwawa lile na mengine mengi mazuri.

Yale ambayo yalikuwa mabaya kisasi ni Cha Mungu pekee.

Pole km alikuumiza.
 
Back
Top Bottom