Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,422
Utaanzia wapi?!Ntakuchapa mimi ooohooooo....we lete tu hizo zako za kuleta. UngaLTD cha mdori kwa Ikungulyabashashi
Utaanzia wapi?!Ntakuchapa mimi ooohooooo....we lete tu hizo zako za kuleta. UngaLTD cha mdori kwa Ikungulyabashashi
We kikubwa ukitaka thread iende na watu wakuseme sema anzisha thread za ajabu ajabu....hata usipopendwa utajulikana!!
Hahhahha..,hiyo sithubutu..najali afya yangu!!Alafu usimbake
Hahaha!!!!Hehehehe...mi mwenyewe sijauza itakua yeye!
Yupps....yani watu wataboreka ila mwisho wa siku jina lako linaosha!!Ndo maanake kama kumsema Malaria Sugu
kwa zigo lile,hata Mandingo lazma achemke...
We nawe umezidi kusifia wadada wenzako!!kwa zigo lile,hata Mandingo lazma achemke...
Hahhahha..,hiyo sithubutu..najali afya yangu!!
We nawe umezidi kusifia wadada wenzako!!
kuna walakin....!We nawe umezidi kusifia wadada wenzako!!
mhh nakuonea huruma kweli...lile balaa!Mi zigo kama hilo wallah sililazi kitandani ili nifaidi naweka mkeka
Mkeka eeee angalia utachubuka magotiMi zigo kama hilo wallah sililazi kitandani ili nifaidi naweka mkeka
Mwanaume anabakwaje? hata ile nanihii inaamrishwa kusimama?Kule Mbozi miaka nyuma wkt niko huko nilikuwa nasikia wanaume wanabakwa na wanawake nikawa najiuliza sipati jibu
Mwanaume anabakwaje? hata ile nanihii inaamrishwa kusimama?
Duh...nadhani itakua ni kazi ngumu sana aisee!Wanastahili zawadi.....!Kule Mbozi miaka nyuma wkt niko huko nilikuwa nasikia wanaume wanabakwa na wanawake nikawa najiuliza sipati jibu
mhh nakuonea huruma kweli...lile balaa!
We unaona kawaida!???kuna walakin....!
kwa zigo lile,hata Mandingo lazma achemke...
Khaaa...akiwa na kichwa ka feni ndo tunaagana!Ukiwa na mme wako mnapita mitaani au mmekaa sehemu likipita zigo hilo mme wako asipo geuka na kwambia mpige talaka hapo hapo
Duh...nadhani itakua ni kazi ngumu sana aisee!Wanastahili zawadi.....!