Nilitoa....Nimerudisha

Kijana naona hilo shuzi linakutoa udenda sema nae lakini angalia lisije likawa dume hilo
Chakushangaza Fidel unaweza kukuta mshikaji mwembamba ajabu ila kama ni dume halafu ana shuzi la hivyo ana walakini huyo lol!!
 
Mi nimegundua maunderground wakitaka kutoka lazima ataje celeb. wa jf kama nyie hivi hapo sredi inakimbiza
We kikubwa ukitaka thread iende na watu wakuseme sema anzisha thread za ajabu ajabu....hata usipopendwa utajulikana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom