Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,266
Wataka kulijua?!Njoo UngaLTD!!Da'Lizzy wewe una lipi jipya??
Wataka kulijua?!Njoo UngaLTD!!Da'Lizzy wewe una lipi jipya??
Na mtaka yote kwa pupa hukosa yote, bora arudi kwenye anjariHawa ndo wale uswazi tunawaita sitaki na nataka vyote kwa pamoja anavitaka.
Hahahahha ataupata tu kama ule wa NotEnuff!!Huyo anatafuta umaarufu kupitia watu kama nyie wenye majina hapa JF
Wataka kulijua?!Njoo UngaLTD!!
umaarufu kwa kutumia majina yasiyo yetu?? hiyo mpya!!!Huyo anatafuta umaarufu kupitia watu kama nyie wenye majina hapa JF
Hahahahha ataupata tu kama ule wa NotEnuff!!
umaarufu kwa kutumia majina yasiyo yetu?? hiyo mpya!!!
Shwari kabisa kamandaNipo nipo mjengoni babu....uko pouwa lakini?
Chakushangaza Fidel unaweza kukuta mshikaji mwembamba ajabu ila kama ni dume halafu ana shuzi la hivyo ana walakini huyo lol!!Kijana naona hilo shuzi linakutoa udenda sema nae lakini angalia lisije likawa dume hilo
Sasa hicho ndo kipya nlichojifunza wiki hii....Kikubwa usimkabe
Anataka kuuza single kwa kupitia ID yakoNisingekua nalo asingenitajakwenye thread yake na wewe usingehangaika kunijibu....!
Chakushangaza Fidel unaweza kukuta mshikaji mwembamba ajabu ila kama ni dume halafu ana shuzi la hivyo ana walakini huyo lol!!
We kikubwa ukitaka thread iende na watu wakuseme sema anzisha thread za ajabu ajabu....hata usipopendwa utajulikana!!Mi nimegundua maunderground wakitaka kutoka lazima ataje celeb. wa jf kama nyie hivi hapo sredi inakimbiza
Haahahahaha........ dah........hebu twenzetu kwa assenga bana..... hizi siasa si nzuri sanaHapa mazungumzia daraja la kikwete au?
Nisingekua nalo asingenitajakwenye thread yake na wewe usingehangaika kunijibu....!
Sasa hicho ndo kipya nlichojifunza wiki hii....
kwani celeb ni Fidel? Duh huu u-celeb mwingine mikosi!!Chakushangaza Fidel unaweza kukuta mshikaji mwembamba ajabu ila kama ni dume halafu ana shuzi la hivyo ana walakini huyo lol!!
Hehehehe...mi mwenyewe sijauza itakua yeye!Anataka kuuza single kwa kupitia ID yako
Hahaha!! Fidel hiyo inaitwa nitoke vipiHahahaha mzee nommaaaa lakini shuzi hilo umeliona najua mate mate hapo labda kweli yupo hivyo