jamani mpenzi salimia, mbona hasira hivo sweetie?Haya, vijino pembe wametia fitna kwa Mods mpaka avatar yangu binafsi imetolewa, kisa **** langu linawakosesha raha vimbaumbau kama Lizzy. Sasa jicho je?? Nalo mtalilalia mlango wazi? mwadhani la kichina unh? Mwanamke jicho bwana! si wengine hapa mimacho imewatoka kodo utadhani chula kabanwa na mlango..........
Wamenikela sana aisee kwa kuniingilia kwenye inteno.jamani mpenzi salimia, mbona hasira hivo sweetie?
Hahahaaaaaaaa,, mbona waogopa Lizzy? Unadhani msagaji niini? Unaogopa kusagwa?Shoga mbona kama wanpenda kupitiliza?!Wantisha sasa mtoto wa watu....
Sasa mamie tukijumlisha kiuno kile (yaani ule mzigo wa kilo za kutosha uliotolewa), na jicho hilo hapo hilo, si patachimbika jamani? tuoneeni huruma siye viumbe kwakweli.Haya, vijino pembe wametia fitna kwa Mods mpaka avatar yangu binafsi imetolewa, kisa **** langu linawakosesha raha vimbaumbau kama Lizzy. Sasa jicho je?? Nalo mtalilalia mlango wazi? mwadhani la kichina unh? Mwanamke jicho bwana! si wengine hapa mimacho imewatoka kodo utadhani chula kabanwa na mlango..........
Wamenikela sana aisee kwa kuniingilia kwenye inteno.
Do not attempt to understand what you can not understand....I dont want you confused!!mmmh! fuzzy!!
Mpe za uso huyo sholi asiye na mpango........Ntakuchapa mimi ooohooooo....we lete tu hizo zako za kuleta. UngaLTD cha mdori kwa Ikungulyabashashi
uwiiiii! Punguza hasira hny, huko inteno ni kwangu tu, usijali mama.Wamenikela sana aisee kwa kuniingilia kwenye inteno.
Aaafu weee sharobaro hiphop avatar yako nayo haiendani na maadili, hicho kinachoning'inia ni kifurushi cha nini? zambarau au?jamani mpenzi salimia, mbona hasira hivo sweetie?
ohhh, ujue ndizi moja apple mbili saizi yake. Kwani imekukera beibei?Aaafu weee sharobaro hiphop avatar yako nayo haiendani na maadili, hicho kinachoning'inia ni kifurushi cha nini? zambarau au?
acha kujidanganya! akupende nani?Shoga mbona kama wanpenda kupitiliza?!Wantisha sasa mtoto wa watu....
Wakati mwingine hata DHL huwa inautema mzigo!
Wewe ulienijaza kwa akili...jina langu ni kama HITAJI kwako...bila kulitaja hupati raha....!acha kujidanganya! akupende nani?