Nilitoa....Nimerudisha

Nilitoa....Nimerudisha

Haya, vijino pembe wametia fitna kwa Mods mpaka avatar yangu binafsi imetolewa, kisa **** langu linawakosesha raha vimbaumbau kama Lizzy. Sasa jicho je?? Nalo mtalilalia mlango wazi? mwadhani la kichina unh? Mwanamke jicho bwana! si wengine hapa mimacho imewatoka kodo utadhani chula kabanwa na mlango..........
jamani mpenzi salimia, mbona hasira hivo sweetie?
 
Shoga mbona kama wanpenda kupitiliza?!Wantisha sasa mtoto wa watu....
 
Haya, vijino pembe wametia fitna kwa Mods mpaka avatar yangu binafsi imetolewa, kisa **** langu linawakosesha raha vimbaumbau kama Lizzy. Sasa jicho je?? Nalo mtalilalia mlango wazi? mwadhani la kichina unh? Mwanamke jicho bwana! si wengine hapa mimacho imewatoka kodo utadhani chula kabanwa na mlango..........
Sasa mamie tukijumlisha kiuno kile (yaani ule mzigo wa kilo za kutosha uliotolewa), na jicho hilo hapo hilo, si patachimbika jamani? tuoneeni huruma siye viumbe kwakweli.
 
Wamenikela sana aisee kwa kuniingilia kwenye inteno.

eich, ntakuwa nimepitwa, siikumbuki hiyo ilotolewa: hebu niforwadie mamii teh teh, maana hasira zilvokushka mpaka nakuonea huruma! duh.
 
..Ukombozi wa kweli wa kijinsia utapatikana pale tutakapoacha kutumia viungo vya miili yetu kama 'mitaji'!
 
Dah!! Kumbe nimepitwa na vingi......hii "via mobile" inanibania nisilione hilo jicho licha ya kukodoa mijicho yangu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom