Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

no, huwezi kuwa correct kwenye kila positin. kuwa pro means kuwa profitable on the long run, kwamba winners ni nyingi kuliko losses. na siyo kwa bahati bahati. yes unaweza kui multiply $20 mpaka $200 kwa kubahatisha trade moja au mbili tu. sasa hapo huwezi kuseam wewe ni pro. ila unabahatisha bahatisha.
Sawa lakini nyinyi mnaosema mmejifunza miaka ni waongo huo u-pro mtu anaupata kwa ndani ya miezi 4 tu, miaka ni kitu gani unajifunza?
 
Sawa lakini nyinyi mnaosema mmejifunza miaka ni waongo huo u-pro mtu anaupata kwa ndani ya miezi 4 tu, miaka ni kitu gani unajifunza?
strategies ni tofauti... kila mmoja ana yake. ndiyo maana huyu anatumia mwezi kui develop, huyu anatumia mwaka, na huyu antumia miaka 7
 
Wewe! yaani utengeneze mkakati kwa miaka bila kutrade? baada ya hapo unaanza kupata mafaida😂 acha kufanya watu waendelee kutapeliwa kwenye biashara hii.
 
Wewe! yaani utengeneze mkakati kwa miaka bila kutrade? baada ya hapo unaanza kupata mafaida😂 acha kufanya watu waendelee kutapeliwa kwenye biashara hii.
hapana, strategy inatengenezwa kwa ku trade ila si real funds. wengi wanatumia pesa zao kutengeneza strategy, ila kwenye kui test ni lazima utumie pesa na ule loss kweli kweli. 5 years si haba. ukiwa goigoi una quit mapema.
 
sasa wewe umeleta mada ya nini humu si ungetuambia tuulize AI
baada ya kukosa mawindo umepanic sio
sijapanic... ningetaka kutapeli ningefanya hivyo. lengo la uzi ni kueleza kuwa kuna watu wanatengeneza fedha kupitia forex, ambayo wengi wanashindwa.
 
Huna namba ya mulilo hapo niriripoti mara moja hili tapeli halina nyaraka zozote za ithibati
thibitisha kwa fact nimemtapeli mtu? je, nimehitaji yeyote aje pm? nimejitaja kuwa mimi ni mentor? nimeomba pesa kwa yeyote? ukijiuliza haya na ukaona nimefanya mojakati ya hayo, basi mpigie huyo Muliro, hata namba yake ninaweza kukupatia.
 
sasa mkuu unataka niseme ndiyo? mimi ni mhandisi magari na ndyo taaluma niifanyayo. fx pia nafanya professionally
FX kufanya kiprofessionally sio shida, nilikua nataka kujua kwa miaka yote uliyoitoa kafara sasa umeanza kufaidika?
 
thibitisha kwa fact nimemtapeli mtu? je, nimehitaji yeyote aje pm? nimejitaja kuwa mimi ni mentor? nimeomba pesa kwa yeyote? ukijiuliza haya na ukaona nimefanya mojakati ya hayo, basi mpigie huyo Muliro, hata namba yake ninaweza kukupatia.
Kwenda bhana kama umekula dili na mabroker upige promo mpate kondoo zaidi
 

Attachments

  • 1783185647531.jpg
    1783185647531.jpg
    106.5 KB · Views: 11
Kwenda bhana kama umekula dili na mabroker upige promo mpate kondoo zaidi
wewe ndiyo ukwende, kwa sababu ni wewe ndiye umekuja kwenye uzi wangu, ilhali ungweza kuu ignore ungehitaji. sipo hapa na sijaleta uzi huu kula kichwa cha yeyote. siyo mentor, sipokei kumi kutoka kwa mtu, nimeleta facts kwamba inawezekana if one is serious.
 
Najua huo msemo mkuu ila nataka kijua kutoka kwako je imekulipa? Au ndio unaanza kuona nuru au bado kabisa unaendelea kuwa mvumilivu?
mkuu, nuru nione mara ngapi? mpaka naleta uzi huu ina maana si nuru tu, bali jua kabisa in its full powers. na ndiyo maana nimekuja kupinga misconceptions za wengi humu kuhusiana na forex trading. only that. sitafuti kichwa cha mtu yeyote wala fedha ya mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom