zee_latown
JF-Expert Member
- Feb 21, 2026
- 523
- 927
- Thread starter
- #181
sawa. umeshinda weweHakuna uthibitisho wowote uliouweka kuonesha mafanikio yako katika fx, Kwahyo uwezi kuja kifua mbele kusema fx inalipa.
sawa. umeshinda weweHakuna uthibitisho wowote uliouweka kuonesha mafanikio yako katika fx, Kwahyo uwezi kuja kifua mbele kusema fx inalipa.
na nikikuonesha utapata faida gani? mimi sitafuti kichwa.Basi uzi wako hauna maana
Naijua forex since 2016 na mpaka sasa natradena nikikuonesha utapata faida gani? mimi sitafuti kichwa.
Sawa tafta siku uje arusha ninafuga kondoo na mbuzi kisasa kabsa na wanafaida ya wazi niikikupa somo ukifuata unapata matokeo kama mm au zaidi.sawa. umeshinda wewe
sawa, nashukuru.Sawa tafta siku uje arusha ninafuga kondoo na mbuzi kisasa kabsa na wanafaida ya wazi niikikupa somo ukifuata unapata matokeo kama mm au zaidi.
sio hoja. unaweza ukawa una trade ila bado ni loser, yaani ukawa unawasindikiza wenzio.Naijua forex since 2016 na mpaka sasa natrade
Sawa mkuu 😂😂😂sio hoja. unaweza ukawa una trade ila bado ni loser, yaani ukawa unawasindikiza wenzio.
yeah!Sawa mkuu 😂😂😂
Kk ni ngumu kuwaelewesha watu do what is right for you most of people wanao ku challenge aren't ready to learn just here kukubeza let them believe what they live for mzeeno, huwezi kuwa correct kwenye kila positin. kuwa pro means kuwa profitable on the long run, kwamba winners ni nyingi kuliko losses. na siyo kwa bahati bahati. yes unaweza kui multiply $20 mpaka $200 kwa kubahatisha trade moja au mbili tu. sasa hapo huwezi kuseam wewe ni pro. ila unabahatisha bahatisha.
Kwann ww ni trader au mfanya biashara au muajiriwa?Sawa lakini nyinyi mnaosema mmejifunza miaka ni waongo huo u-pro mtu anaupata kwa ndani ya miezi 4 tu, miaka ni kitu gani unajifunza?
Unajua tofauti ya trader na mfanyabiashara? kingine kwanini uniulize swali kama hilo?Kwann ww ni trader au mfanya biashara au muajiriwa?
Kwa sababu hoja zako za kijinga ndo maana nijue status ako nijue naanzia wapiUnajua tofauti ya trader na mfanyabiashara? kingine kwanini uniulize swali kama hilo?
yes, a lot of tanzanians dont wanr to bother themselves in reading books. wanataka youtube videos zilizotafsiriwa. kama ni hivyo basi si wengi wangefaulu?Uzuri umeeleweka nq watu waliokuelewa mimi ni mwezi wa 6 nachukua skills kutoka kwenye vitabu.
Pdf ni bora zaidi, mimi napenda mno vitabuyes, a lot of tanzanians dont wanr to bother themselves in reading books. wanataka youtube videos zilizotafsiriwa. kama ni hivyo basi si wengi wangefaulu?
endelea vivyo hivyo. wewe utafaulu. nakumbuka profit yangu ya kwanza after 7 years ilikuwa $5000, within just 3 days.Pdf ni bora zaidi, mimi napenda mno vitabu
Find a good mentor ambaye yupo legit to shorten the pathUzuri umeeleweka nq watu waliokuelewa mimi ni mwezi wa 6 nachukua skills kutoka kwenye vitabu.