Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

Zaidi ya hiyo ndugu.Watu hapa tanzania wameamua kuwa kimya na pesa wanazoingiza hata kusema tunaogopa
ni kwa sababu hapa nyumbani crowd ya wajinga na wapumbavu ni wengi... mtu anapinga na kubisha bisha kila kitu... mwishoni anakufuata pm anataka ajue... unakuja kgundua kumbe alikuwa ni mjuaji tu na hajui kitu.
 
ni kweli. mimi nimetoa experience yangu. sitafuti kichwa.
Umenena vema sana katika bandiko lako hii ni biashara kwa Tz yetu ukiamua kufanya fanya kimya kimya coz wa tz wengi hawana taarifa sahihi na watakukatisha moyo ila fx ni biashara nzuri na sio rahisi kama newbie wanazani shida kubwa scamners ni wengi kuliko watu legit
 
hisa, hatifungani, vipande nk, vilio ni vingi miongoni mwa jamii hii ya watz walio wengi... kwa sababu wanakurupuka na kuingia kwenye biashara kwa mkumbo na mihemko.. mwisho wanalambwa
 
Ulitumia mda gani kupenda wabibi?

 
Umenena vema sana katika bandiko lako hii ni biashara kwa Tz yetu ukiamua kufanya fanya kimya kimya coz wa tz wengi hawana taarifa sahihi na watakukatisha moyo ila fx ni biashara nzuri na sio rahisi kama newbie wanazani shida kubwa scamners ni wengi kuliko watu legit
kwa nini uwe scammed? nieleze how mtu anakuwa scammed? mimi sikuwahi kuwa scammed zaidi ya miaka mingi mno sasa. though nina taaluma yangu ila forex nayo imekuwa kama biashara yangu rasmi.
 
Ulitumia mda gani kupenda wabibi?

hiyo ni passion kama zilivyo zingine. hakuna ubaya na si kosa kisheria.
 
inauma sana mtu mvivu na mjinga azue taharuki na kutoa misinformation kuhusiana na kitu asichokijua.
 
Back
Top Bottom