Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

kwa hiyo ifahamike kwamba, forex ni biashara kama zilivyo zingine... inahitaji nidhamu ya hali ya juu sana.
 
Mbona unajiongelesha Mzee ,ulijua hii nyavu utanasa watu?
Hakuna mtu utakamata humu,FX story za JF humu zimeletwa 2015 huko nikiwa form 3.
Kakamate vibua huko Facebook
sipo hapa kukamata yeyote wala kujiongelesha. nipo hapa kukanusha misconceptions nyingi kuhusiana na biashara hii ya forex. ni kweli watu humu wana machungu ya kutapeliwa mno, sina la kuwasaidia.

halafu, mimi siyo mentor. nimeleta hoja ya kupinga kwamba forex trading ni utapeli... hivyo imebaki hivyo, kuwa fx si utapeli. tena nimejitolea mfano mwenyewe. humu naamini wapo wengi tu wanafanyya fx na wanamake pesa ila hawataki kujulukana kwa sababu wanazzojua wao.
 
keep fighting bro, wabongo so watu wakuwapa michongo watakunanga adi so poa, njia ulopita ndo inatakiwa trader apite kuwa mwnyewe anzsha strategy yako mwnyw mchezo kwisha.
 
keep fighting bro, wabongo so watu wakuwapa michongo watakunanga adi so poa, njia ulopita ndo inatakiwa trader apite kuwa mwnyewe anzsha strategy yako mwnyw mchezo kwisha.
wengi wana machungu ya kutapeliwa bado... walijua kunahela rahisi. mimi nilileta uzi huu kuharibu misconception ya wengi humu kuwa fx haina faida na ni utapeli.. kitu ambacho si kweli. hilo tu. wanajijua sana humu
 
Habari kila mwanachama humu... mimi niko salama kabisa na naendelea na majukumu yangu ya kujenga taifa kama ilivyo ada.

Humu jukwaani, na si humu tu, bali hata mitaani kwa kweli mapokezi ya fursa hii ya teknolojia ya kidigitali ya forex yamekuwa hafifu na yakupigwa sana vita. sababu ni nyingi na kila mmoja ana sababu zake. binafsi kwa upande wangu nina historia yangu kuhusu forex.

Maswali ni mengi sana. mara oog hakuna anayefanikiwa au aliyetoboa kupitia forex, mara ooh forex ni utapeli tu, mara ooh hakuna pesa rahisi(ni kweli na ndiyo maana akili ni lazima iumie kwelikweli) na maneno kadha wa kadha.

Stori yangu.
nimekaa kimya kwa muda mrefu mno... leo naona ni wakati sahihi wa kueleza kile nijuacho kuhusiana na forex trading.

1. Forex trading ni biashara kama zilivyo zingine. ni halali kisheria kwenye mataifa makubwa kama USA na UK na inahusisha kulipa kodi kisheria. kuna sheria zinasimamia hii ili kudhibiti cheating. tofauti kubwa ni kwamba forex trading inafanyika online(hapa ndipo watu wanatania na kuita pesa za kudownload)

2. Kama ilivyo kawaida, kila biashara ina hasara na faida. pia forex ina hasara pia, na si vema kuifanya kwa mihemko, ni lazima risk iwe managed.

3. Kwa nchi zetu, ni biashara inayokua kwa kasi ingawa kwa tz bado hearsay ni nyingi na scandal za utapeli ni nyingi.

4. Ni rahisi kutengeneza pesa forex ila ni ngumu pia. kama ilivyo kwenye biashara nyingine yoyote. uzoefu na umakini pamoja na kukubali hasara. hata wanaowekeza kwenye hisa na hatifungani nadhani wanatambua hii concept.

5. Elimu, elimu, elimu. hapa namaanisha elimu sahihi isiyoghoshiwa.

experience yangu:
1. Nilijifundisha forex kwa miaka zaidi ya 5 ndipo nikaanza rasmi trading. baada ya miaka 2 ndipo nikaanza kuona faida na kumake baada ya kupoteza na kuchoma mtaji zaidi ya mara 20(mara nyingi sana). nakumbuka scenario moja ya kupata $420 kwa mtaji wa $200(market volatility ilikuwa juu mno).

2. Kipindi ha miaka mitano ya kujifunsisha, ndipo nili develop my own strategy.

3. Sikutaka na sikuwahi kuwa na mentor, kila kitu nilifanya mwenyewe... ni kusoma pdf's na ku practise.
youtube videos and classes sikuvitaka hata kuvisikia, nilijifundisha mwenyewe kila kitu,

4. Nili trade mwenyewe, sikuwa hi kumpa mtu hela yangu atrade badala yangu. hii iliniepusha na matapeli wengi mno na vilio ambayvyo havikuwa na ulazima.

5. Mwisho... siongei yote... lazima ieleweke kuwa mafanikio kwenye kitu chochote huenda kwa watu wachache na si wengi...

nb
Mimi siyo mentor na sufundishi mtu, nimetoa experience yangu tu.
ahsanteni sana.
Aha forex siyo mchezo bro ni biashara. ngumu.kuliko zote duniani
 
Mi sijasema kwamba ati uliazima ila kama mkamaria mwenzio ni vyema ukafanya hivo ikiwa kama ni sehemu ya kurudisha kwa jamii
kamari/betting ni nini kwa mtazamo wako? forex kuwa au kutokuwa kamari kutategemea na wewe umeingiaje? si veam kusema moja kwa moja kuwa kila fx trader ni mcheza kamari. jielimishe sana>
 
Habari kila mwanachama humu... mimi niko salama kabisa na naendelea na majukumu yangu ya kujenga taifa kama ilivyo ada.

Humu jukwaani, na si humu tu, bali hata mitaani kwa kweli mapokezi ya fursa hii ya teknolojia ya kidigitali ya forex yamekuwa hafifu na yakupigwa sana vita. sababu ni nyingi na kila mmoja ana sababu zake. binafsi kwa upande wangu nina historia yangu kuhusu forex.

Maswali ni mengi sana. mara oog hakuna anayefanikiwa au aliyetoboa kupitia forex, mara ooh forex ni utapeli tu, mara ooh hakuna pesa rahisi(ni kweli na ndiyo maana akili ni lazima iumie kwelikweli) na maneno kadha wa kadha.

Stori yangu.
nimekaa kimya kwa muda mrefu mno... leo naona ni wakati sahihi wa kueleza kile nijuacho kuhusiana na forex trading.

1. Forex trading ni biashara kama zilivyo zingine. ni halali kisheria kwenye mataifa makubwa kama USA na UK na inahusisha kulipa kodi kisheria. kuna sheria zinasimamia hii ili kudhibiti cheating. tofauti kubwa ni kwamba forex trading inafanyika online(hapa ndipo watu wanatania na kuita pesa za kudownload)

2. Kama ilivyo kawaida, kila biashara ina hasara na faida. pia forex ina hasara pia, na si vema kuifanya kwa mihemko, ni lazima risk iwe managed.

3. Kwa nchi zetu, ni biashara inayokua kwa kasi ingawa kwa tz bado hearsay ni nyingi na scandal za utapeli ni nyingi.

4. Ni rahisi kutengeneza pesa forex ila ni ngumu pia. kama ilivyo kwenye biashara nyingine yoyote. uzoefu na umakini pamoja na kukubali hasara. hata wanaowekeza kwenye hisa na hatifungani nadhani wanatambua hii concept.

5. Elimu, elimu, elimu. hapa namaanisha elimu sahihi isiyoghoshiwa.

experience yangu:
1. Nilijifundisha forex kwa miaka zaidi ya 5 ndipo nikaanza rasmi trading. baada ya miaka 2 ndipo nikaanza kuona faida na kumake baada ya kupoteza na kuchoma mtaji zaidi ya mara 20(mara nyingi sana). nakumbuka scenario moja ya kupata $420 kwa mtaji wa $200(market volatility ilikuwa juu mno).

2. Kipindi ha miaka mitano ya kujifunsisha, ndipo nili develop my own strategy.

3. Sikutaka na sikuwahi kuwa na mentor, kila kitu nilifanya mwenyewe... ni kusoma pdf's na ku practise.
youtube videos and classes sikuvitaka hata kuvisikia, nilijifundisha mwenyewe kila kitu,

4. Nili trade mwenyewe, sikuwa hi kumpa mtu hela yangu atrade badala yangu. hii iliniepusha na matapeli wengi mno na vilio ambayvyo havikuwa na ulazima.

5. Mwisho... siongei yote... lazima ieleweke kuwa mafanikio kwenye kitu chochote huenda kwa watu wachache na si wengi...

nb
Mimi siyo mentor na sufundishi mtu, nimetoa experience yangu tu.
ahsanteni sana.
Watakutafuta inbobo kwa hii strategy
 
Aha forex siyo mchezo bro ni biashara. ngumu.kuliko zote duniani
na ndiyo maana nikajitolea mfano... nikatenga 5 years kujielimisha kabla ya kuanza kuweka pesa. sasa leo kijana ana dola mia zake zinamuwasha anaamua kuvamia vamia vitu asivyovielewa ili apate hela rahisi, no easy money
 
The most successful and famous Forex (FX) traders worldwide have shaped the global currency markets through massive macroeconomic bets, rigorous risk management, and pioneering trading strategies. [1, 2]



10 Legendary FX Traders Worldwide

George Soros: Known as "The Man Who Broke the Bank of England," he famously shorted the British pound on Black Wednesday in 1992, netting a $1 billion profit in a single day. [1, 2]

Stanley Druckenmiller: Soros’s chief strategist for years, he co-orchestrated the historic 1992 short on the British pound and maintained an incredible multi-decade track record with zero losing years. [1]

Paul Tudor Jones: A master macro trader who famously predicted and shorted the 1987 Black Monday market crash, generating over $100 million in profits while focusing strictly on capital preservation. [1]

Bill Lipschutz: Nicknamed "The Sultan of Currencies," he turned a small inheritance into hundreds of millions at Salomon Brothers, generating over $300 million annually for the firm in the 1980s. [1]

Bruce Kovner: A Harvard-educated intellectual who founded Caxton Associates, turning it into one of the world's premier macro hedge funds with an astonishing 55.6% average gross annual return in its first decade. [1]

Andrew Krieger: While trading for Bankers Trust in 1987, he noticed the New Zealand Dollar (Kiwi) was highly overvalued and shorted it using aggressive leverage, netting $300 million for his firm. [1]

Joe Lewis: A self-made British billionaire who teamed up with George Soros during Black Wednesday, reportedly making $1.8 billion by aggressively shorting the pound and Mexican peso. [1, 2]

Michael Marcus: One of the initial "Market Wizards," he is legendary for transforming a $30,000 account into $80 million over two decades by catching major currency and commodity trends. [1, 2]

Ed Seykota: A pioneer of computerized trading systems who developed early trend-following algorithms in the 1970s, completely revolutionizing how modern quantitative FX funds operate today. [1, 2]

Kathy Lien: A widely respected contemporary fundamental analyst and author who began trading Wall Street FX markets at age 18, later co-founding BK Asset Management. [1, 2, 3]
 
Forex trading is not inherently gambling, but it can easily become gambling depending on how a trader approaches the market. [1, 2, 3, 4]
While both activities involve risking capital on uncertain future outcomes, the fundamental difference lies in risk mitigation, probability, and underlying value. [1, 2, 3]


 
uzi huu ni kwa faida ya wote waliokuwa tayari ku sacrifice miaka 5 ya hasara jumlisha miaka 2 ya trading, jumla miaka 7. kisha waanze kuwa profitable. muda ni mali. najitolea bure kabisa kuwaelimisha crowd ya watanzania ambao ni wajinga kwenye landscape hii.

nb
mimi si mentor, sipokei fedha ya mtu, nahaibu ntoxic misconceptions kuhusu forex trading. mwenye hoja na aje tubishane kwa fact. lengo ni ieleweke kuwa forex trading siyo utapeli na ni biashara halali.
 
Back
Top Bottom