Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Ukienda kila kwenye account ya social media ya vichwa wa CHADEMA wanajifanya kuchambua athari za nchi kuuza dhahabu.
Ukiwauliza maswali madogo madogo tu hawana majibu.
. Hawajui Tanzania tuna reserve ya dhahabu kiasi gani.
.Hawajui malengo ya Tanzania kuhifadhi dhahabu ni yapi.
.Hawajui kuwa wizara ya afya kwenye nchi nyingi au zote za Afrika tegemeo ni serikali ya USA ambayo wameshajitoa kusapoti sekta ya afya.
Ukimuuliza mpinzani anayepinga kuuzwa dhahabu ni njia gani mbadala ya kupata mabilioni ya pesa kuziba gape ya USA hana jibu.
Hawana sera , hawana mpya, kila siku wanasubiri jambo litokee waje wachambue.
Huyu mpuuzi Lema baada ya unabii wake wa kumtabiria Samia kifo kufail anaumia sana.
Ukiwauliza maswali madogo madogo tu hawana majibu.
. Hawajui Tanzania tuna reserve ya dhahabu kiasi gani.
.Hawajui malengo ya Tanzania kuhifadhi dhahabu ni yapi.
.Hawajui kuwa wizara ya afya kwenye nchi nyingi au zote za Afrika tegemeo ni serikali ya USA ambayo wameshajitoa kusapoti sekta ya afya.
Ukimuuliza mpinzani anayepinga kuuzwa dhahabu ni njia gani mbadala ya kupata mabilioni ya pesa kuziba gape ya USA hana jibu.
Hawana sera , hawana mpya, kila siku wanasubiri jambo litokee waje wachambue.
Huyu mpuuzi Lema baada ya unabii wake wa kumtabiria Samia kifo kufail anaumia sana.