Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

acha janjaa janjaaa Mama Ndege .. ili kubebwaa tu, jamaa sidhani kama hakugusa gusa nyonyo na tako na kula mate.. kwa mujibu wa VAR 😜😜... Uli enjoy
Hata sikuenjoy kwanza nilikuwa namtoa mikono kwa nguvu maana alikuwa ananitia hasira tu
 
Kitendo cha wew kukubali kufikishwa hadi chumbani sijui unabishana nae kwann anakushika maana yake ulikuwa tayari uone mwisho wake mbele ya fisi mwenye uchu wa nyama
ilitakiwa ile anaanza kukushika bila ridhaa uwetayari upo nje unavaa viatu
Acha uzembe na kwann ukubali kwenda kwake
Nilikuwa namtoa lakini akawa mbishi na vile alikuwa tayari yuko hot ndiyo ilikuwa shida nikisema ninyanyuke nikafungue mlango ananivuta nikae nisingeweza kushindana naye nguvu
 
Polee, Siku nyingine kuwa Makini Mkuu kama mtu siyo mpenzi wako, si vizuri kwenda anapoishi nendeni tu sehemu ya wazi yenye utulivu mkazungumze huko
Nimejifunza na ndiyo huwa nafanyaga hivyo ila huyu nilimuamini, sitarudia tena
 
Back
Top Bottom