Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
Tena si ajabu huyo mtoa taarifa ndiye aliyemshawishi mke wake awe na mahusiano nje ya ndoa yake. Katu asijiite rafiki maana angekuwa rafiki angemshauri aache na angemtunzia siri.
Mtoa taarifa anacheza kokote apate anachotaka!