Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

msamehe mke wako ndugu umeshamuadhibu vya kutosha na amejifunza kunjua moyo wako kwake anakupenda sn ndo mana bado anakuomba msaha miaka miwili? bd anakubembeleza tu mbona naamini kbs uwezo wa kuwa na mahusi mengine anao ila bado anakuitaji mume
 
Umesema ulipiga picha nyingi tu,sasa mbona hujaziweka tuhakikishe?.

Alafu maelezo yako hayajakamilika,maana umesema mgoni wako alichagua kuolewa na sio kupigwa au kukatwa nyeti,pia ukasema akaolewa na hizo njemba ulizoenda nazo,ila katika maelezo yako hukusema kama ulienda na Shekhe au Padri,au hiyo ndoa uliwafungisha wewe??.

Anyway,nice story....u are very creative.


#Analyse
 
Umesema ulipiga picha nyingi tu,sasa mbona hujaziweka tuhakikishe?.

Alafu maelezo yako hayajakamilika,maana umesema mgoni wako alichagua kuolewa na sio kupigwa au kukatwa nyeti,pia ukasema akaolewa na hizo njemba ulizoenda nazo,ila katika maelezo yako hukusema kama ulienda na Shekhe au Padri,au hiyo ndoa uliwafungisha wewe??.

Anyway,nice story....u are very creative.


#Analyse

Binafsi sioni kitu kinachofanya hii iwe ya uongo maana huku mitaani watu wanafumaniana kila siku, it is common now a days
May be jf imekua na uongo mwingi sasa imefika pahala kila story tunai treat kama ya uongo
 
oa uliyenaye, mzinzi achana naye, hao wazazi wasikuzingue hawajakusaidia kubeba maumivu ya mapenzi, kutombewa kunauma bhana

Kama angetombewa guest house ningekushauri umsamahe,lakini ndani kwako kitandani kwako hapana sio mke huyo achana naye.
 
bwana brian mi nakushauri mkapime vvu na huyo mkeo wa zamani kisha umsamehe

kuhusu huyo rafiki wa mkeo mwite umwambie ukweli mtaachana na umpe uhakika kuwa pamoja na kumwacha bado mtaendelea kua marafiki.
 
Mimi pia nimemuhurumia sana,sawa alikosea lakini hakustahili kufanyiwa vile jamani,,sijuwi yuko wapi masikini,au ndo ilikuwa mwisho wa maisha yake kwa kujitoa uhai.Aisee Mungu tusaidie.

Acha tu,wanadamu wamekua wakatili kuliko wanyama kabisa yani..je angefanyiwa yeye,Mungu atusaidie sana mkuu mana dhambi hii ni kubwa kuliko alivyomfumania yani
 
Yaani it's either of two:Samehe mke wako mrudiane if only inawezekana lkn.au tafuta mpenzi mwingine uanze upya lakini si huyo unayesema ye na mkeo walikua marafiki walioshibana kama ndugu. Huyo unaemwona mwema could be possibly dangerous than your wife usinulize kwanini. Ila tafakari!
 
ungeleta picha ili wachangiaji waondoe dhana kichwani mwao kwamba huyu mkasa Ni wa kupikwa/kufikirika.
 
mke wa jamaa hajakufunga kwa kukutwa na gari ya mumewe na haijulikani jamaa alipo? unatatizwa na mengi na sio swala la uoe nani
 
Jee ingekuwa wewe ndiyo uliofumaniwa na mkeo baada ya yote hayo ungependa mkeo akusamehe?
Kama jibu ni ndiyo basi msamehe. Ninakuhakikishia kuwa atakuwa mke bora kiasi hata wewe mwenyewe itakuwa vigum kuamini na hatokusaliti tena maana amepata somo la kutosha kabisa.
Huyo rafiki wa mkeo ambaye hivi sasa unafikiria kumuoa siyo mtu mzuri kabisa na inawezekana alikuwa anamuonea wivu mkeo na akatumia nafasi hiyo na mwisho wa siku ukaingia mtegoni- chunga sana bro
 
Brian, huyu mwanamke unayetaka kumuoa badala ya mkeo ulimkuta bikira? Kama sio maana yake na yeye alikwisha pita sehemu zingine. Kama wengi walivyokushauri umrudie mkeo. Ningekuwa mimi, ile kuwakuta live peke yake ilikuwa adhabu tosha kwa wote wawili. Usingemfanyia lolote mgoni na mkeo. Ungemchukua mkeo kupimwa VVU ili mjue myaishi vipi. Baada ya hapo ni mke bora kabisa kwa mafunzo ya kushikwa ugoni. Na jamaa angekuheshimu sana. Hukumu always ni ya Mungu. Kwa kuwa ulikwisha wahukumu na wewe hutasamehewa maovu yoyote utendayo. Basi rudi msamehe mkeo muanze upya. Usirudie tena kufanyia binadamu vitendo vya unyama , sote hukosa na sote ni binadamu. Hukumu na adhabu tumuachie Mwenyezi Mungu anajua namna ya kufanya. Poleni.
 
Khaa!! wewe huko ya nchi ulipiga wangapi bana? Tofauti yako na wife wako ni kwamba yeye ulimkamata na wewe ukawa na bahati ya kuto kukamatwa:glasses-nerdy:
 
kamwe usimsamehe mzinzi umkutapo. kwani itakufanya kumshusha thamani kwa kila ktu ktk ndoa...jamani uzinzi hausamehek, ilimradi tu umfume mwenz wako..
 
Ama mrudishe mkeo au oa mwingine lakini si huyo aliyekupa taarifa za mkeo.

Tena si ajabu huyo mtoa taarifa ndiye aliyemshawishi mke wake awe na mahusiano nje ya ndoa yake. Katu asijiite rafiki maana angekuwa rafiki angemshauri aache na angemtunzia siri.
 
Atakaye kuambia umrudie mwonyeshe picha ulizompiga wakati gegedo la mgoni lipo ndani papuchi ya mkeo!!!!!
 
Haina makombo hiyo mkuu we mrudie tu wife huyo harudii tena. Huyo jamaa lazima amehama mji
 
Back
Top Bottom