Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

ukimrudia hutaisgi nae kwa amani hadi siku ya kifo chako
 
Kumbuka umeshamuingiza mtu kwenye mahusiano vipi ukimwambia Basi wakati ameshazama na kipindi una upweke ndio alikuwa anakuliwaza heshimu hisia za mtu pale anapokuthamin hachana na huyo mkeo mzinzi aliyezini kwenye kitanda chako....
Mie na tatizo kama hilo na sasa hivi nadate na mpwa wake ambaye ni cute kuliko my ex, na mimba nmeshampa nilifanya ili kumuhumiza
 
Msaidie chichote lakini usimrudie huo ndo msimamo wa kiume saiz oa huyo rafiki yake kila ukitenda ovu malipo ni hapahapa dunian hakuna malipo ya mbiguni mi nakataa hakuna kumrudia huyo mwanamke io misiba acha ashiriki kwani kuna ubaya gani ila kurudisha dudu kwenye k iliyofedheheshwa ni ujinga. Labda kama unamkubali ila kama hujabakisha chembe za upendo kwake mpotezee akaolewe kwingine alah wanawake wako wengi one mistake a hundred goals.
 
brian brian

Maoni yangu yako hivi mkuu sote wanadamu ni wakosaji pia kumbuka madhaifu ya miili yetu cha msingi ni kumsamehe na kurudia,ametambua losa na kuomba msamaha. Wanadamu ni wakosaji ila wanasamehewa makosa yao,msamehe amekuwa na utambuzi wa hatia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: THT
  • Umetenda kosa kwa kuvunja nyumba yako mwenyewe kwa kutumia mbinu za kiuhalifu.
  • Umetenda kosa la jinai kwa kumdhalilisha jamaa kwa kusababisha aliwe inyee.
  • Umetenda kosa la kumpiga mkeo na kumfungia stoo.
  • Umefanya kosa la uzinzi la kutembea na rafiki wa mke wako wakati bado upo ndani ya ndoa.

Kwa kuwa ulichukua sheria mkononi na kutenda makosa yote hayo ngoja tuangalie nani anastahili adhabu kati yako na mkeo. Mkeo katenda kosa moja tu la uzinzi/kutokuwa muaminifu. Wewe umetenda makosa yasiyopungua manne.

Adhabu yako inakuja...
 
Jibu ni moja tu USIRUDI nyuma,endelea na huyo mpya kama nikufunga nae ndoa funga...mbona maandiko yako wazi kabisa,mtu akizini anapotezewa,kumkubali arudi nikukaribisha matatizo upya,kwa maana yakuwa kila ukimuona huyo mwanamke utakuwa unakumbuka ile siku ambayo uliwafumania na ATAKUONA ---- sana.

..kuna wakati ambao unatakiwa uwe na msimamo wakiume haijalishi wazazi wako wanasemaje,halafu inakuwaje unaruhusu anaendelea kuzoea ndugu wa na ukoo wako wakati haupo nae??hao wazazi wako wangeendelea kumpokea kama ile siku ya fumanizi ungezidiwa nguvu uuwawe?!
 
mkuu itakuwa vigumu kupata ushauri wa moja kwa moja kwa sababu,suala la kukoseana kwenye mapenzi ni jambo la kawaida,ila linategemea na mkosewaji,akiombwa msamaha,atasamehe na kusahau? kuna kusamehe,na kuna kusamehe na kusahau...
Mkisameheana,mara nyingi huyo mtenda kosa huwa hathubutu kurudia ujinga kama ule wa mwanzo.

Na zaidi ya hapo,we ulishatoa adhabu kali kwa hao wote,unashindwaje kumrudia mkeo? Na pia uhusiano uliouanzisha na huyo shoga yake,hata uwe mtamu vipi,jua tu kwamba si uhusiano sahihi kwako.
Kila la heri...
 
oa uliyenaye, mzinzi achana naye, hao wazazi wasikuzingue hawajakusaidia kubeba maumivu ya mapenzi, kutombewa kunauma bhana

watu kweli tuko tofauti, yaani nishuhudie kwa macho yangu waifu akitiwa halafu nimrudie tena, niwe na mapenzi naye tena aaaaah big NOOOOO!!
 
Wakuu habari zenu
Miaka 2 iliyopita nilishika mke wangu na jamaa moja hivi
Nilikua nimekwenda kozi ya mwaka mmoja nje ya nchi nilipelekwa na kampuni



Kwa upande wangu nipo njia panda maana huyu mwanamke nilie nae mapenzi yamekolea sana na kwa kweli hana tabia mbaya ingawa kwetu hawamtaki kabisa wanamtaka mzinzi
Na mzinzi amewalisha sumu kwetu kuhusu huyu mwanamke wangu Mpya

Hata hivyo nilimchukua Rafiki Wa wife kulipa kisasi ili aumie kama yeye alivyoniumiza lakini muda ulivyozidi kwenda nikanikuta namzoea na kumpenda pia

Naombeni mawazo yenu

Mkubwa kosa kubwa hilo! Kisasi gani tena zaidi ya kipigo uliyompa yeye na Mgoni wako?
Unastahili kumuomba radhi kwa kutembea na Rafiki yake kiuungwana kabla hujafikiria maombi yake.
Huyo mwanamke kweli ana moyo na sijui kama ni upendo au kuna jambo?

Swali je mlifanikiwa kuapata Watoto ndani ya ndoa yenu?
 
Mkuu Brain brain Nikuulize je ulishazaa na ex-wifu ???

nakushauri Option 1:-
1.. kama itakubalika kiimani(dini yako) mpe sharti kuwa atakuwa mke mkubwa.... nawe uoe informer wako!! (hapo utatulia)
 
Last edited by a moderator:
Unaeweza kuitaja na kuielezea?

Inaitwa POPOMA Na Kwa Kuielezea Ni Kuwa Unataka Kututambia Kuwa Umemfumania Aliyekuwa ANAKUKANYAGIA Demu Wako Na Nijuavyo Kama Ungekuwa NGANGARI Kamwe Usingechapiwa ILA Mimi Nimefurahi Tu Ulivyochapiwa. Je Una Jingine?
 
Back
Top Bottom