Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

Hapa nimeona mambo kadhaa
1. Level yako ya utu na huruma ni ndogo sana, kwenye hio process yote kama una utu lazima somewhere ungeona huruma, unge-withdraw.
2. Wewe unadhani hustahili adhabu kwa kutoka na rafiki wa mkeo??
3. Ku-cheat ni uamuzi tu, mkeo sio mtoto mdogo kwamba alazimishwe, mwaka mzima uko nje ya nchi unategemea nini??
4. Huyo jamaa inawezekana hata alijiua roho yake itaku-haunt maisha yako yote ama sivo nenda katubu utafute amani.
5. Mapenzi hayana logic, usifanye maamuzi ukiwa na hasira, fikiria matokea ya maamuzi kabla hujatenda.
6. Hata huyu ulienae ukizubaa utachapiwa vile vile, badili mtazamo wako juu ya haya mambo, angalia wapi ulikosea, tumia akili.
 
Unahakika huyu wa sasa ambaye ndiyo unataka uishi naye unadhani hawezi kumegwa? kaka ndoa ni kuvumila kibaya ugonjwa tu, wanadamu ni wajanja sana. Huko masomoni wewe hujawahi kutoka hata na mwanamke? Usaliti kwenye ndoa ni mkubwa na unakuwa kwa kiasi kikubwa sana kuliko unavyofikiria, ukitaka uamini tembelea siku za kazi kwenye Lodge zilizopo mafichoni hasa mijini uone usaliti ulivyo. Ni ndoa chache sana ambazo usaliti haujagusa, kumuacha mkeo sio dawa pia kumrudisha sio dawa, kuoa mwingine sio tiba ya tatizo kikubwa fikiria zaidi familia yako itakuwa katika nafasi gani kama utamuacha mkeo.
 
Hapa nimeona mambo kadhaa
1. Level yako ya utu na huruma ni ndogo sana, kwenye hio process yote kama una utu lazima somewhere ungeona huruma, unge-withdraw.
2. Wewe unadhani hustahili adhabu kwa kutoka na rafiki wa mkeo??
3. Ku-cheat ni uamuzi tu, mkeo sio mtoto mdogo kwamba alazimishwe, mwaka mzima uko nje ya nchi unategemea nini??
4. Huyo jamaa inawezekana hata alijiua roho yake itaku-haunt maisha yako yote ama sivo nenda katubu utafute amani.
5. Mapenzi hayana logic, usifanye maamuzi ukiwa na hasira, fikiria matokea ya maamuzi kabla hujatenda.
6. Hata huyu ulienae ukizubaa utachapiwa vile vile, badili mtazamo wako juu ya haya mambo, angalia wapi ulikosea, tumia akili.
Jamaa ni mkatili sana. Halafu hawazi hata kumuomba msamaha huyo mgoni kwa ubaya wote aliomfanyia. Inawezekana kabisa huyo rafiki wa mke wake ndiye aliunganisha hayo mahusiano akijua atafaidi akishawavuruga. Tuwe na utu. Angeweza tu kuwaachia wagoni wakaondoka baada ya kupata ushahidi kuwa ni kweli.
 
Mkuu tunaomba mrejesho ilikuaje.....kwa sasa unaishi na mwanamke gani?
 
Mrudie mkeo wako wa kwanza! Hakuna asiyekosea madamu amekuomba msamaha kwa dhati msamehe na muendelee na maisha.
Usijidanganye kuoa huyo rafiki yake,yatakukuta mengine ambayo hutarajii.
 
Siku nikifumaniwa sithubutu kurudi kwa mume hata Kama amenisamehe.
Tena ukirudi nitakuja kukufanyia malipo ya kisasi kwakua moyo wangu kuna siku utakua unakumbuka usaliti uliowahi kunifanyia. Ni ngumu sana kusahau mabaya uliofanyiwa na mume au mke wako hasa usaliti

Mkorintho wa 6
 
Tena ukirudi nitakuja kukufanyia malipo ya kisasi kwakua moyo wangu kuna siku utakua unakumbuka usaliti uliowahi kunifanyia. Ni ngumu sana kusahau mabaya uliofanyiwa na mume au mke wako hasa usaliti

Mkorintho wa 6
Kweli kabisa, sithubutu mie, namshangaa huyo dada. Ila hayanihusu atajua mwenyewe
 
Asee nikifumania naondoka eneo la tukio then ntakuja kui taifisha nyumba na Mali zote badae chini ya uangaliz wa watu maana sitaki kuua ,then we are done


Sitakaa nisamehe kuchapiwa milele
Shoga mtu ndio alichokuwa anakitaka, akuharibie ndoa yako aingie yeye na kafanikiwa.. Hamna ht mmoja wa maana hapo, mara mbili umrudie mkeo. Hiv ingekuwa unamfumania mtu mara moja na kuachwa hv kungekuwa na ndoa zinazodumu miaka na miaka, ni kwasbbu hayo mambo yapo lakn watu husameheana na maisha huendelea..

Kosa moja halimfukuz mke.! Je wew mwenyew ulipokuwa masomon huko hukuwah kuchepuka ht mara moja? hamna aliekamili hvyo kusameheana ni jambo la heri, achana na shankupe huyo, aliemuachisha mwenzie. we unajuaje km huyo ulienae ndio sahihi! hatakaa akusaliti? Piga moyo konde mrudie mkeo km kujuta atakuwa kajuta sn na hatakaa arudie maisha yake yote kwa show uliomuonyesha ulipomfumania.. Mrudie!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgoni una msamehe?

Yaan mgoni unatakiwa umle Tigo umtoboe macho kisha unamchuna ngozi kabla hajakata roho unamkaanga kwenye mafuta ya kula tena ikiwezekana unachukua video clip unawatumia ndugu zake hasa watoto wake wateseke nayo vizazi na vizazi


Yaan unajua uchungu wa kuchapiwa?
Jamaa ni mkatili sana. Halafu hawazi hata kumuomba msamaha huyo mgoni kwa ubaya wote aliomfanyia. Inawezekana kabisa huyo rafiki wa mke wake ndiye aliunganisha hayo mahusiano akijua atafaidi akishawavuruga. Tuwe na utu. Angeweza tu kuwaachia wagoni wakaondoka baada ya kupata ushahidi kuwa ni kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida baada ya kushuhudia usaliti

Can you live with it?
Unahakika huyu wa sasa ambaye ndiyo unataka uishi naye unadhani hawezi kumegwa? kaka ndoa ni kuvumila kibaya ugonjwa tu, wanadamu ni wajanja sana. Huko masomoni wewe hujawahi kutoka hata na mwanamke? Usaliti kwenye ndoa ni mkubwa na unakuwa kwa kiasi kikubwa sana kuliko unavyofikiria, ukitaka uamini tembelea siku za kazi kwenye Lodge zilizopo mafichoni hasa mijini uone usaliti ulivyo. Ni ndoa chache sana ambazo usaliti haujagusa, kumuacha mkeo sio dawa pia kumrudisha sio dawa, kuoa mwingine sio tiba ya tatizo kikubwa fikiria zaidi familia yako itakuwa katika nafasi gani kama utamuacha mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaliti hasyahili huruma yoyote hapo Jamaa naona bado hajafanya unyama wenyewe,kwanza alitakiwa awaunganishe na mkewe kwenye hiyo adhabu

Kama ni Mimi Jamaa kama kajiua mzimu wake ukinifata naukimbiza na panga,na siku nikifa naendeleza beef huko huko mbinguni au akhera milele,

Yaan hakuna dharau kama kuchapiwa yaan Jamaa anakua amekudharau down to earth
Hapa nimeona mambo kadhaa
1. Level yako ya utu na huruma ni ndogo sana, kwenye hio process yote kama una utu lazima somewhere ungeona huruma, unge-withdraw.
2. Wewe unadhani hustahili adhabu kwa kutoka na rafiki wa mkeo??
3. Ku-cheat ni uamuzi tu, mkeo sio mtoto mdogo kwamba alazimishwe, mwaka mzima uko nje ya nchi unategemea nini??
4. Huyo jamaa inawezekana hata alijiua roho yake itaku-haunt maisha yako yote ama sivo nenda katubu utafute amani.
5. Mapenzi hayana logic, usifanye maamuzi ukiwa na hasira, fikiria matokea ya maamuzi kabla hujatenda.
6. Hata huyu ulienae ukizubaa utachapiwa vile vile, badili mtazamo wako juu ya haya mambo, angalia wapi ulikosea, tumia akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipoanza kusoma uzi wako... nilihisi ni mtu smart sana... lakin nilipofika mstari unaoelezea kuwa upo kwenye mahusiano na rafik wa mke wako wa zaman... umenifanya nishike kichwa...

Wanawake wana mambo mengi sana, unaweza ukakuta huyo shoga ake ndo alimchagulia mkeo huyo jamaa... na yeye ndo akawa anampa mkeo maneno ya ujasiri had anapata kujiamini na kuja kujipinda mbuzi kagoma kwenye kitanda chako....

Mi labda niseme hivi, hilo unalochukua sahv ndo janga lakutupa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama umefanikiwa kukaa for two year without her what else do you want? hata kama mlikuwa na watoto two years naamini umekwisha jipanga and you have managed you dont need to rewind the problem otherwise you are turn a victim.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom