Nimesoma,Ila police si wamekula njama na huyo raia kutesa raia mwema... siwapendi kabisa yanaomba rushwa waziwazi....mkuu kwani si umesoma maelezo yake vizuriiii? yan mtu anaemfahamu ndo kaanza kumuundia zengwe
Mpige dokoAcha ujinga Mimi ni mtu mzima najitambua siwezi kukaa kutunga uongo ili nifaidike Nini?
Nmetokea usa njoo nkuoe mremboooIla jeshi la police jamani! Lijitafakari upya
Wanaotoa kwa ajili ya hennessy hapo daslam je??mwanaume unatakiwa upambane marinda yasiharibiwe labda umepigwa sindano za usingizi,na ukigundua inabid useme na roho zao, bila shaka ulitoa izo pesa
Akikupa hennessy akufire??Mana nasikia wapenda Sana kinywaji hicho kuna ka ukweli mkuu???Nimeshangaa sana mkuu, mtu ana bargain asiliwe, imagine.
Yaani mwanaume unabembeleza watu wasikufire kweli? Si bora wakuua.
Yaani kitendo cha mwanaume mwenzako kuomba ama kutaka akufire hapo wmetangaza vita.
Mimi niko tayari kufungwa maisha ama hata kunyongwa kwa kuua mtu yoyote akikaribu tu kuzungumzia mk.undu wangu, kwanza anaanzia wapi kutaka anifire?
Hapo wewe huna tofauti na mtu aliyetekwa na majambazi wakadai. βRansomβ toka kwako au la wakumalize, polisi wajitafakari upya. Ila pia, kama huyo jamaa yupo, mtumie majambazi a wewe wakamle kiboga, hivi why mnakuwa walegevu hivi?Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza wa Tanzania.
Sitosahau mwaka 2021 mwezi March nilipokea simu ya mtu aliyejitambulisha kuwa ni mpemba ana kazi ya Ujenzi wa ghorofa nane anahitaji kuonana na mimi ili kunipa Sub-contract Kwasababu main contract wanatumia kampuni ya nje, tuliahidiana kukutana kesho yake DSM.
Siku ya pili saa 3:15 nilifika sehemu tuliyoahidiana, kukutana.
Nilikutana na watu wawili walijitambulisha kwangu kuwa mmoja ni Askari Polisi kutoka DODOMA amepata maelekezo kwa mkuu wa police Dodoma kuja kunikamata na mwingine (Bonge la mtu) alijitambulisha kuwa ni Afisa wa Mkubwa wa Usalama wa Taifa KUTOKA MAKAO MAKUU DODOMA kwa hiyo nipo chini ya ulinzi nisifurukute chochote la sivyo watanifumua ubongo na risasi.
Niliuliza kosa langu sikuambiwa ilikuwa ni vitisho tu niliomba vitambulisho wakanitisha wao ni maalumu hawana vitambulisho.
Walinipeleka mojawapo ya kituo cha Polisi kilicho karibu ambacho wengi wanaoshikiliwa katika hicho kituo wengi ni vibaka.
Nilikabidhiwa kwa mpelelezi akaniandika jina na kunisweka lockup bila hata kupokelewa mapokezi na nikaambiwa kuna mtu atanifuata ndiye ataniambia kosa langu.
Nilikaa lockup na vibaka hao (niliponea chupu kubakwa na nikawaahidi kuwapa hela ndio wakaniacha kidogo wanishughulikie, Polisi wao hawana muda)
Nilishinda njaa, mchana ulikwisha kiza kilianza na nilianza kuhisi, njaa Kali kila nilipoomba Askari vijana wanaoleta chakula cha wafungwa kuwa naomba kuongea nao walinitisha kunivunja vunja na kuniambia niangalie vibaka wenzangu walivyo vunjwa vunjwa. Nilijitahidi kuwaambia kuwa sijui kosa langu niliambua matusi na vitisho.
Usiku mwingi (sijui saa ngapi) kukadiria Kama saa 7. Niliitwa Mara moja sogea huku cha kunishangaza alikuwa ni polisi akiambatana na mtu ambaye ni (Achtect) MFANYAKAZI WA TARURA ambaye tumewahi kuwa na UGOMVI kwa kutompa RUSHWA aliyoniomba tangu 2019.
Nilimuuliza hivi Sheikh wewe ndiye umefanya mchongo wote huu kunitesa hivi akacheka kwa dharau na kuniambia hiyo hela (RUSHWA) umeshindwa kulipa, milioni Saba sasa utalipa milioni 20 la sivyo hao vibaka watakubaka humo.
Aliniuliza una milioni 20 kwenye gari nikuachie au niruhusu ushughulikiwe na hao vibaka, niliumia sana nilitamani geti lifunguliwe nimrukie nimtafune hata meno na aliniambia hivyo mbele ya Polisi.
Alinitisha atanisafirisha katika buti na kunipeleka Kigoma kituo chake cha kazi kama sina hela atanitupa ziwa Tanganyika au atatoa ruhusa nifungwe jela miaka 10.
Nilimuuliza wewe ni nani mpaka unitishe hivi?
Alijibu: hapo upo wapi? Mimi nina hela sina Sheria.
Ningependa niendelee ila Sina muda Kama nitapata mda nitamalizia kwa siku nyingine.
Jeshi la Polisi lijitafakari je ni kweli wanalinda Raia na Mali zao au ni watesi wa Raia na Mali zao.
Ao wametaka wenyewe mkuu kwa mwanaume alie sirias na uanaume wake awezi ruhusu ilo, ukiwa na tamaa unajiweka ktk risk ya kutatuliwa marinda hata uko jela,Wanaotoa kwa ajili ya hennessy hapo daslam je??
Kwa nini unabisha?Kiongozi pamoja na kuwa tuna mapolisi wasiokuwa na maadili lakini hakuna vitendo hivyo kwenye vituo vya Polisi.
Hata magerezani wanaolawitiwa ni kwa hiyari yao wala si kwa kulazimishwa au kuwekwa mtu kati na kufanyiwa kinguvu, si kweli na hakuna kitu kama hicho.
Hiyo ni hadithi ya Juma na uledi hayo matendo kwa nchi hii labda enzi za ukoloni lakini ndani ya miaka 60 ya uhuru haijawahi kutokea.
Nabisha kwa sababu si kweli,Kwa nini unabisha?
Halijakukuta
Tupo na ushuhuda
Yapo yanatendeka
Mahabusu Magereza ni zaidi ya jehanamu duniani kote
Swala la ulawiti lipo sio hiyari ya mtu
Mleta mada ameeleza lililomkuta wewe upo hapa kumpangia lililomkuta na ambaoo halikumkuta
Mshukuru Mungu wewe halijakukuta
Kuweni na huruma
Ni vizuri kuweka wazi Ufanyike mchakato wa kupunguza ukatili huu magerezani na mahabusu
pole sana mkuu, nita comment na kukushauri zaidi utakapomalizia hii Sagga!!Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza wa Tanzania.
Sitosahau mwaka 2021 mwezi March nilipokea simu ya mtu aliyejitambulisha kuwa ni mpemba ana kazi ya Ujenzi wa ghorofa nane anahitaji kuonana na mimi ili kunipa Sub-contract Kwasababu main contract wanatumia kampuni ya nje, tuliahidiana kukutana kesho yake DSM.
Siku ya pili saa 3:15 nilifika sehemu tuliyoahidiana, kukutana.
Nilikutana na watu wawili walijitambulisha kwangu kuwa mmoja ni Askari Polisi kutoka DODOMA amepata maelekezo kwa mkuu wa police Dodoma kuja kunikamata na mwingine (Bonge la mtu) alijitambulisha kuwa ni Afisa wa Mkubwa wa Usalama wa Taifa KUTOKA MAKAO MAKUU DODOMA kwa hiyo nipo chini ya ulinzi nisifurukute chochote la sivyo watanifumua ubongo na risasi.
Niliuliza kosa langu sikuambiwa ilikuwa ni vitisho tu niliomba vitambulisho wakanitisha wao ni maalumu hawana vitambulisho.
Walinipeleka mojawapo ya kituo cha Polisi kilicho karibu ambacho wengi wanaoshikiliwa katika hicho kituo wengi ni vibaka.
Nilikabidhiwa kwa mpelelezi akaniandika jina na kunisweka lockup bila hata kupokelewa mapokezi na nikaambiwa kuna mtu atanifuata ndiye ataniambia kosa langu.
Nilikaa lockup na vibaka hao (niliponea chupu kubakwa na nikawaahidi kuwapa hela ndio wakaniacha kidogo wanishughulikie, Polisi wao hawana muda)
Nilishinda njaa, mchana ulikwisha kiza kilianza na nilianza kuhisi, njaa Kali kila nilipoomba Askari vijana wanaoleta chakula cha wafungwa kuwa naomba kuongea nao walinitisha kunivunja vunja na kuniambia niangalie vibaka wenzangu walivyo vunjwa vunjwa. Nilijitahidi kuwaambia kuwa sijui kosa langu niliambua matusi na vitisho.
Usiku mwingi (sijui saa ngapi) kukadiria Kama saa 7. Niliitwa Mara moja sogea huku cha kunishangaza alikuwa ni polisi akiambatana na mtu ambaye ni (Achtect) MFANYAKAZI WA TARURA ambaye tumewahi kuwa na UGOMVI kwa kutompa RUSHWA aliyoniomba tangu 2019.
Nilimuuliza hivi Sheikh wewe ndiye umefanya mchongo wote huu kunitesa hivi akacheka kwa dharau na kuniambia hiyo hela (RUSHWA) umeshindwa kulipa, milioni Saba sasa utalipa milioni 20 la sivyo hao vibaka watakubaka humo.
Aliniuliza una milioni 20 kwenye gari nikuachie au niruhusu ushughulikiwe na hao vibaka, niliumia sana nilitamani geti lifunguliwe nimrukie nimtafune hata meno na aliniambia hivyo mbele ya Polisi.
Alinitisha atanisafirisha katika buti na kunipeleka Kigoma kituo chake cha kazi kama sina hela atanitupa ziwa Tanganyika au atatoa ruhusa nifungwe jela miaka 10.
Nilimuuliza wewe ni nani mpaka unitishe hivi?
Alijibu: hapo upo wapi? Mimi nina hela sina Sheria.
Ningependa niendelee ila Sina muda Kama nitapata mda nitamalizia kwa siku nyingine.
Jeshi la Polisi lijitafakari je ni kweli wanalinda Raia na Mali zao au ni watesi wa Raia na Mali zao.