Huyo kapelekwa hapo polisi wakiwa fully informed kwamba kuna mtu kama huyo ataletwa hapo!Kituo chochote cha Polisi Askari wote si wabaya, wasingekunyima mawasiliano. Mpaka leo upo kimya na rushwa imekwama kwanini usipande ngazi, Leo Makamu wa Rais kalilaumu Jeshi la POLISI kwanini usibishe hodi huko kuliko humu JF huyo jamaa wa Tarura sio Mungu ukimuacha atakurudia tu
Najaribu kufikiria hii style dah..... afu mwamba ndo anakupulizia kaupepo hivi kwa mtindo kama anapiga uluzi! Watù wabaaya!style ya popo kanyea mbingu
Yaaaani mleta mada mavi sana yaaaani, hawa ndio wanauliwa na kuwekwa kwenye viroba tunaanza kusingizia wasiojulikana. Tabia za Dhuluma ni mbaya sana, kisasi kisipolipwa leo hata kesho kitalipwa tu. Jamaaa anaweza kuja akapiga kiberiti nyumba yake akaingia hasara zaidi ya hiyo 20M pimbi sana huyu jamaaaa. Barabara wanajenga mbovu halafu bado hizo 10% nazo wanaibiana na kuteuletea shombo humuJamaa alitaka kuwarusha hela wahuni sema wakamuonesha kuwa wao ni watabe zaidi😅 unamrusha mtu hela mliokubaliana na kumpa kauli za kejeli eti fanya lolote unaloweza au nenda popote na kIsha kum block halafu unajiona mwamba!
Kuna watu wamenyongolota vibaya mno sio kupinda tu.
dogo acha kujifanya shujaa, makomandoo wa mbowe walifungwa kama samaki wa kubanikwa wewe nani usifirw, ukiingia kituoni polisi wanaweza kukufanya vyovyote vile na usiwafanye kituKitendo cha kubagen asininiliwe ni bonge la udhaif akikutana na wasiotaka pesa inamaana jamaa ingekua fresh tu
Inaonyesha hata mahabusu zenyew hujui zinafananajedogo acha kujifanya shujaa, makomandoo wa mbowe walifungwa kama samaki wa kubanikwa wewe nani usifirw, ukiingia kituoni polisi wanaweza kukufanya vyovyote vile na usiwafanye kitu
Like serious?!Hapana Chige hii habari ni halisi
Trust me..!Like serious?!
Tofauti na wewe uliyepelekwa kwa makosa yaliyo wazi na taratibu zikafuatwa Huyu anajua kwann aliingia hapo na taratibu hazikufatwa ila hajasema kila kitu. Inaonekana ana maadui na alipelekwa hapo kibabe kumkomesha.Huu ni uongo chai kabisa kituo Cha polisi lockup hazinaga utaratibu wa Nyapala na siyo rahisi kubakwa ukiwa kituoni
Nimekaa sana lockup za polisi mbovu mbovu tofauti tofauti zaid ya 7
Lockup zinakaguliwa mara kwa mara na mtuhumiwa akiwa mgonjwa anapelekwa hospital anapigwa pingu huku anaendelea na matibabu, kwahiyo hata Kupigana kule ndan ni kosa ni kesi juu ya kesi.
Yani bro watu wakwambie tunakulawiti we useme utawapa pesa na wakuache? Kule lockup uliingia na pesa? Na kama hujaungia nazo mlikubaliana mtapeana wapi hizo pesa Hadi wakakubali? Wakat polisi kila mtu anatoka kwa muda wake?
Je mawasiliano mlipeana ili mkutane huko nje? Hizo no za simu waliandika wapi?
Basi, usiseme sana manake hadi naogopa!! Nikianza na "ujasiri" wa huyo jamaa wa TARURA hadi anafikia kuomba rushwa na kuidai waziwazi kiasi hicho na "ujasiri" wa polisi wa kutumia taasisi zao kabisa kukamilisha uhalifu waziwazi kiasi hicho!Trust me..!
Wewe hujakutana na madhira ya hawa TanPol.Chai ya rangi asubuhi yote hiii shekhe
Kabisa.Mkuu,Mimi ningekuwa wewe,HUYO TARURA na HAO ASKARI wote wangekuwa .............
Ni hatari sana mkuu.Najaribu kufikiria hii style dah..... afu mwamba ndo anakupulizia kaupepo hivi kwa mtindo kama anapiga uluzi! Watù wabaaya!
Hivi unajua kuna kitu kunaitwa garage, mahojiano huko hufanyika mpaka saa naneHuu ni uongo chai kabisa kituo Cha polisi lockup hazinaga utaratibu wa Nyapala na siyo rahisi kubakwa ukiwa kituoni
Nimekaa sana lockup za polisi mbovu mbovu tofauti tofauti zaid ya 7
Lockup zinakaguliwa mara kwa mara na mtuhumiwa akiwa mgonjwa anapelekwa hospital anapigwa pingu huku anaendelea na matibabu, kwahiyo hata Kupigana kule ndan ni kosa ni kesi juu ya kesi.
Yani bro watu wakwambie tunakulawiti we useme utawapa pesa na wakuache? Kule lockup uliingia na pesa? Na kama hujaungia nazo mlikubaliana mtapeana wapi hizo pesa Hadi wakakubali? Wakat polisi kila mtu anatoka kwa muda wake?
Je mawasiliano mlipeana ili mkutane huko nje? Hizo no za simu waliandika wapi?