Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,177
Kwa bahati mbaya sana Uvccm nao ujifanya ni Usalama wa Taifa.Wewe acha hizo hii nchi haifuati sheria hata kidogo..kwani ni mara ngapi watu wamekamatwa na usalama wa taifa na kuteswa vibaya?
Jambazi Ole Sabaya usisahau ni Uvccm na alikuwa amefoji ID ya Usalama wa Taifa.