Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

kabisa najiona naelekea huko maana nilikuwa namuamini 100% lakini imani imebaki 0% najuta hata kwanini nilienda kwenye sms dah
Hapa ndio shida ilipoanzia

Lkn

Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyo mwanamke,,,si kweli kwamba alikuwa anaachika ndani ya miezi mitano kisa hakushika mimba hapana nakataa,,kipindi cha kumuacha mwanamke kisa hajashika mimba ni kidogo mno walau ingefika mwaka hata miaka miwili

Huyo ni malaya aliyekubuhu,,just imagine anaolewa na ww lkn anamuita mtu mwingine mume na anamnasibisha huyo jamaa na mtoto wako

Kosa lako kubwa ni kudharau ishara uliyoiona ktk msg,,,ilitosha kabisa kufanya maamuzi magumu

Sikwambii umuache hilo lipo katika mamlaka yako
 
Ulidanganywa kirahisi sana, hakuna mwanaume anaacha mkewe wa ndoa ndani ya 5months kwa sababu ya kutopata mtoto.Wewe umekaa naye kipindi gani mpaka alipobeba mimba? Wewe ulikuwa desperate sana na penzi lake ndiomana hata alipokutupa na kwenda kuolewa ulibaki kumsubili.
Kuna uwezekano mkubwa hata huyo mtoto sio wako,muhimu kujilidhisha mapema ili usije umia na kudhalilika zaidi huko mbeleni.
Kifupi huo ni mfupa uliomshinda fisi,kama unahisi unauwezo wa kumudu madholuba, na Mungu akutangulie.
 
We Mkunduge unataka ushauriwe nini wakati uliona dumu la petroli ukajimwagia halafu ukapita karibu ya moto? Unataka uambiwe nini labda sijaelewa
 
Ulikwepa aibu ya kuikacha ndoa ila umeamua kuyakumbatia maumivu ya roho maisha yako yote

Nb.mkiambiwa acheni nyege msenge muwemnaelewa kuwa na tu Dem km sita huku ukifikiria maamuz sahihi kwny maisha yako
 
Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Kwanza una mapenzi ya kijinga na ya ajabu sana,,,sasa wewe siku zote ulizokua unashuhudia akiolewa na kuachwa mara zote mbili ulikua huoni wanawake wengine,,,mpaka ukawa unaombea mkewa watu aachwe huko ndio uje upeleke mironjo,,,,,bro unazingua na huna kauli kwa uyo malaya wako
 
Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Mungu alikuonyesha Kwa sms kuwa usioe!!ulioaje mkuu !!?Tena alieachika mara mbili!!?

Kwanini usitafute fresh uanze maisha!!?

Ukiona mwanamke anakuwinda hivyo Kila saa anakija geto shtuka ana jambo lake!!

Ni talaka tu tena!
 
Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Achana na hayo mawazo,kwakuwa ulimeza wembe acha kumuwazia vibaya mtoto wa watu.Tafuta pesa.Hata akigongwa mbususu bado itabaki na wewe utaambuliapo.Narudia ,tafuta pesa acha kujiumiza kipsychologia
 
Naona huyo dada anaelekea kuachwa ndoa ya tatu. Mungu alikuonyesha jambo kabla ya ndoa wewe ukajizima data
 
1. umoa ex
2. kaolewa mara mbili
3. umeouuza warning siku ya harusi

vichwa ngumu huwa hawajifunzi
 
Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Eti wenu katika mtihani mzito,
Kwanza nikupe pole saana kaka, ila binafsi nakuomba uchukulie kawaida saana.

Binafsi Huwa nasema binadamu ni kiumbe Cha ajabu saana achana na huyo aliyefanya hayo ni mwanamke ila kiujumla binadam ni kiumbe Cha ajabu kabisa.

Unajua kwann nakuambia hivi, yaan namaanisha akili yake haina formula na uncontrolled ya sio kama mnyama kwamba unaweza ukamfuga na kumtreat unavotaka wewe na asibadilike.

Binadam hubadilika mda wwt ule na yanaweza kuwa ni mabadiliko ya ajabu Sanaa kuwahi kutokea.

Baada ya hapo nije kwenye kesi Yako, kiongozi angalia kama moyo unakuambia kuwa huyo mtoto ni wako, naomba hayo mengine achana nayo Anza naye upya.

Ila kama moyo unakupa mashaka juu ya mtoto tafuta njia ya kujiridhisha ili uwe na amani moyoni.

Mimi binafsi kaka naweza kukaa hata mwaka sijashika simu ya mke wangu maana sitaki shida.
Siku nikija kugundua Hilo hata tu kwa sms nikawa na uhakika kuwa wameshafanya, huo ndo utakuwa mwisho na mpk wangu baina yangu nayeye
 
Back
Top Bottom