mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,676
- 45,409
naaam!! kwamba ww ungelisongesha tu au siyo!Itapendeza zaidi ila wakiwa na moyo mgumu kama wangu
naaam!! kwamba ww ungelisongesha tu au siyo!Itapendeza zaidi ila wakiwa na moyo mgumu kama wangu
Kwakweli jamani tunaishi kwa Neema ya MunguNi MUNGU tu anatusaidia mkuu acha kabisa
Ni issue sana siku hiziYaani mpaka mtu aje kuolewa /kuoa mmmm mtihani bora zamani msichana akimaliza shule ni kuolewa lakini hivi mmm inabidi kujitahudi kwa watoto wetu
Hahahahaa Davet [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo wewe una moyo wa chuma?Itapendeza zaidi ila wakiwa na moyo mgumu kama wangu
We jamaa unavodadavua si mchezo, hadi nimecheka aseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [HASHTAG]#mgegedoni[/HASHTAG] [HASHTAG]#fakamiana[/HASHTAG] kisawasawa...
Hii ilikua mbaya zaidi ila kwa nguvu ya penzi utakuta wanaomba tena kukumbushia game
Hahah!! Maneno mengi sana wewe jamaaWe jamaa unavodadavua si mchezo, hadi nimecheka aseeee
Hakika ndugu maana ata mkiacha haibadiri kitu itabaki vile vile tu kua mshapiga gameHahahahaa Davet [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahiyo wewe una moyo wa chuma?
Duuh haya Mzee babaHahah!! Maneno mengi sana wewe jamaa
Mpango mzimanaaam!! kwamba ww ungelisongesha tu au siyo!
AiseeeHakika ndugu maana ata mkiacha haibadiri kitu itabaki vile vile tu kua mshapiga game
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] aiseeeeMpango mzima
Nimeona kuna sehemu kanilike nahisi atakua humu humuKeshatoka mapumzikoni?
Nilienda kumsalimia bibi yangu nikakutana na binti mtoto wa shangazi yangu ,bibi akanambia jichukulie binti bado mbichi huyu umfaidi( nikachukulia utani) jioni wakati wa kulala binti anakomaa alale na mimi nikamwambia acha uwendawazimu ww! unasikiliza maneno ya bibi! Alinuna midomo kaivuta kama minati, moyoni najisemea utajua mwenyewesijaelewa vizuri sa undugu unakujaje kama aliotajwa sio baba yako??? nae watanzania tunarefusha mno undugu
Wacha baana! Ngoja nisepeNimeona kuna sehemu kanilike nahisi atakua humu humu