Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Nilijaribu kumchokoza mke wangu kuwa tungeenda kumpima mtoto wetu DNA...! Sasa nakosa sipati usingizi, kila wakati "Mimi nataka nikae na amani bwana..."!. Je, hii inaashiria nini? Ni uzushi, au ni kweli anataka akae na amani? Nifanyeje, hasa ukuzingatia kuwa kwa sasa kupima DNA ni mlolongo mrefu, tena ulio na complications nyingi?