Tuelezane mambo ambayo ulidhani ni muhimu katika umri fulani ila sasa unaona hayana maana

Jorge WIP

JF-Expert Member
Jul 12, 2018
3,567
5,288
What is Life?

Maisha ni mchezo mmoja ambao unachanganya sana.

Huwa najiuliza hili swali na najua kuna baadhi ya watu washawahi jiuliza: Hivi uishi maisha gani ili ikifika uko mzee useme huna majuto yeyote kwa kuwa you lived your whole.

Hii habari ni njema kwa vijana walio below 30s maana wako kwenye their “PRIME” bado wanacheza mchezo wa maisha wakiwa na nguvu nyingi.

Katika pita za hapa na pale nmegundua kwenye grand scheme kuwa mali na pesa sio mwisho wa furaha (japo hautakiwi kusema hivi mpaka uwe navyo).

Pesa inaleta sense of security ila sio fulfillment, Je ni nini kinacholeta amani ya kudumu? eti!..niambie hapa chini kwenye comments.

Hii inatokea hata kwenye malengo, unafurahi sana baada ya kufikia ndoto yako lakini masaa kadhaa baadae unakuwa hauelewi tena what’s next.

Unabaki na maswali “Nilijitoa kwa ajili ya hii kitu usiku na mchana mbona sasa sipati kusikia utimilifu!”

Tambua kuwa maisha ni sasa (hivi unavyoisoma hii), sio jana wala sio siku utakayofikia malengo yako “Enjoy the present” Maisha ni safari ndio maana wanasemaga hivyo na sio kuwa Maisha ni kituo.

Ina maana kuishi ndio safari yenyewe kwahiyo haijalishi unapitia hali gani hamna siku utakayopata furaha ya kudumu ukiwa hai.

Furaha inapatikana kwa misimu, ukikubaliana na hili hautoteseka. Hakuna happy ending, zile ni movies na hadithi tu

Nna theory kwamba “fulfillment” inapatika kwenye Spiritual Salvation. Kwa Mungu ndio kuna everlasting happiness ila huku kwengine kote sidhani.

Haijalishi utakuwa successful kiasi gani bado utabaki na pengo, kutafuta achievements kibao ni kujipa ubusy ili kukataa ukweli kuwa uko clueless na unachotaka, Yes I said it

Mara nyingi watu wengi wanagundua baadae kwa kuchelewa kuwa furaha unaipata kwenye familia (hapa nazungumzia watu unaowapenda na wanaokupenda kwa dhati sio wale mnaoshare DNA tu).

La mwisho la kuzingatia ni kufanya matumizi kwenye Kununua experience na sio Material stuffs, fanya hivyo utanishukuru.

USISAHAU KUNIJIBU SWALI NILILOKUULIZA PALE JUUKWENYE KICHWA CHA HABARI
 
Nlikuaga nasema nikipata demu mwenye makalio makubwa nimeyatoa maisha kumbe ndio nimeyakanyaga
1663414627087.jpg
 
Ndoa....

My Wish, nipate pesa niizunguke Dunia, yaan natamani kufika MaBara yote🥲

Kwenye ndoa hapo uitunze tu, hakuna namna ila la kuzunguka dunia unaweza

Fanya hivi, anza na utaratibu wa kuzunguka hata mikoani tu nenda vivutio vya utalii, hotels kadhaa hapa gharama sio kubwa sana. baada ya hapo jiulize!

“Je nataka kuendelea kusafiri?!...”
 
Unajua mwenyewe huwa najiuliza swali hili sana ila nahisi majibu yatakuwa hapa!
MUHUBIRI 12:1
"BASI, MKUMBUKE MUUMBA WAKO MKUU KATIKA UJANA WAKO, KABLA HAZIJAJA SIKU ZA TAABU WALA HAIJAFIKA MIAKA UMAKAPOSEMA:"SIIFURAHII""
 
Kwenye ndoa hapo uitunze tu, hakuna namna ila la kuzunguka dunia unaweza

Fanya hivi, anza na utaratibu wa kuzunguka hata mikoani tu nenda vivutio vya utalii, hotels kadhaa hapa gharama sio kubwa sana. baada ya hapo jiulize!

“Je nataka kuendelea kusafiri?!...”

Ndoa sina na sina mpango nayo,

Kutalii hapa kwetu ni sanaa Mikoa sijafika ni Kusini tu, lakini yote nishafika, East Afrika baadhi pia,

Yes bado nina Kiu ya kusafiri mbali zaidi,

Sasa nikuchekeshe, niliangalia series ya Vikings hao nao wamechangia sana kunipa tamaa ya kuizunguka Dunia.
 
Ndoa sina na sina mpango nayo,

Kutalii hapa kwetu ni sanaa Mikoa sijafika ni Kusini tu, lakini yote nishafika, East Afrika baadhi pia,

Yes bado nina Kiu ya kusafiri mbali zaidi,

Sasa nikuchekeshe, niliangalia series ya Vikings hao nao wamechangia sana kunipa tamaa ya kuizunguka Dunia.
Sikia niko kwenye conflict kama yako ila iko tofauti kidogo kwamba nkiwa nasubiri kupata pesa zaidi ili ntembee dunia si ntakuwa nachelewa kwenye familia
 
Nna theory kwamba “fulfillment” inapatika kwenye Spiritual Salvation. Kwa Mungu ndio kuna everlasting arms happiness ila huku kwengine kote sidhani.
Agreed.
Spiritual salvation.
Finding God.
Finding truth.
Attaining Enlightenment.
However you put it!!

Kuna mtu nilim quote juzi, he wrote what plenty of his fellow men thought is the ideal life,
Get money,
Build a house,
Buy cars,
Don't get a family,
Sleep with as many women as you can.

Nikamuuliza so ndo unakuwa umemaliza maisha, is that all there is?

We came to existence to do just that?

What do the men who've had all that all their lives think?

A woke man is attractive.

A man who's risen beyond our primal survival instincts and is on search for meaning is gift to his family, to this life.
 
Hahha dah! ndoa ni level nyingine ile aisee
Ndoa sina na sina mpango nayo,

Kutalii hapa kwetu ni sanaa Mikoa sijafika ni Kusini tu, lakini yote nishafika, East Afrika baadhi pia,

Yes bado nina Kiu ya kusafiri mbali zaidi,

Sasa nikuchekeshe, niliangalia series ya Vikings hao nao wamechangia sana kunipa tamaa ya kuizunguka Duniaaha
 
Exactly, you can do and have all of these but at the end of a day unabaki kuwa lonely again kama ulikotokea... Serious what is it?
Agreed.
Spiritual salvation.
Finding God.
Finding truth.
Attaining Enlightenment.
However you put it!!

Kuna mtu nilim quote juzi, he wrote what plenty of his fellow men thought is the ideal life,
Get money,
Build a house,
Buy cars,
Don't get a family,
Sleep with as many women as you can.

Nikamuuliza so ndo unakuwa umemaliza maisha, is that all there is?

We came to existence to do just that?

What do the men who had all their all their lives think?

A woke man is attractive.

A man who's risen beyond our primal survival instincts and is on search for meaning is gift to his family, to this life.
 
Asikudanganye mtu aisee furaha ya kweli ipo kwa Mungu tu baada ya kufa kma ukiwa mtenda mema,lakini unaweza ukaanza kuifeel hapa hapa kabla hujafa endapo utakuwa mtu wa kutoa sana sadaka kwa WAHITAJI na KUSAIDIA SANA WASIOJIWEZA,....hapa kuna furaha ya ajabu sana utaanza kuiona na haikatiki.
 
Asikudanganye mtu aisee furaha ya kweli ipo kwa Mungu tu baada ya kufa kma ukiwa mtenda mema,lakini unaweza ukaanza kuifeel hapa hapa kabla hujafa endapo utakuwa mtu wa kutoa sana sadaka kwa WAHITAJI na KUSAIDIA SANA WASIOJIWEZA,....hapa kuna furaha ya ajabu sana utaanza kuiona na haikatiki.
Nakubaliana na wewe kabisa. furaha ipo kwa kusaidia wengine, ukisaidia watu unapata ile amani ujue...unahisi uko powerful. Tofauti ukiwa na bank balance kubwa
 
Asikudanganye mtu aisee furaha ya kweli ipo kwa Mungu tu baada ya kufa kma ukiwa mtenda mema,lakini unaweza ukaanza kuifeel hapa hapa kabla hujafa endapo utakuwa mtu wa kutoa sana sadaka kwa WAHITAJI na KUSAIDIA SANA WASIOJIWEZA,....hapa kuna furaha ya ajabu sana utaanza kuiona na haikatiki.
Mkuu ili ni KWELI KABISAAAA tho... si wengi wanajua lakini pia inabidi uwe fully commited to God, sio unakuwa commited nusunusu.
 
Back
Top Bottom