mark_philipo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 202
- 33
pole,nina ku pm,hope ni swala raisi sana kulisolve,will advice,for i hav been solving cases of the kind.
sikiliza wewe definitely wewe ni mwanaume na its time kuandika ukweli kuchangia kwa maandishi si kigezo cha kuandika uandikayo zaa mtoto wa kike aje akuambie hayo kisha mjibu hivyo au dadako yamkute hayo mpe ushauri huo.
Nimekuchukiaaa vibaya sana
lazima utakua single wewe? Mimi pamoja na ukichaa wangu wote, ndoa yangu bado nimeishika tena sitaki hata initoke dear! Kama kuondoka ndo suluhu hapa basi, i can assure u that, she will go back to her husband. Na mume pia atachanganyikiwa mkewe kuondoka lakini pia davina atachanganyikiwa pia.
Sijui mungu aliweka nini kwenye kiapo cha ndoa, watu wengi waliodivorce au kutengana akiri zao haziko fresh pia huwa wanapoteza focus fulani kwenye maisha na wengine huamua tu kuoa/kuolewa tena ila ni shughuli jamani.
Cha msingi, kue na strong factor ya kuvunja ndoa ambayo hapa sijaiona bado.
Nawakilisha
Ndo ukweli...na friction ni kubwa ukijifanya mjuzi wa 'hardcore sex'...lakini still, utelezi haupunguzi risk..kwani kama mwanamke ndo mgonjwa, vijidudu vyenyewendio vipo kwenye huo utelezi! All in all...safer sex is the condomized one, na hii ni challenge kwa wanaume ambao umri umeenda..kitu chenyewe tia-maji tia-maji, hata ukirescuscitate na Viagra...utavisha condom!?
na nani aliyesema avunje ndoa yake????dear, am a married woman with two kids(boy & gal), nina kazi nzuri na degree nzuri tu. Kwa ujumla nipo comfortable kiuchumi na kijamii! Nimepitia changamoto za design hii pia kwa hiyo najua nachosema.
Sijaona sababu ya davina kuvunja nyumba yake. Period
naamini kwa uwezo wa mungu mko wazima!
napenda kuwashukuru sana kwa michango yenu ambayo huwa mnatoa humu mm n mdau japo huwa siyo mchangiaji sana lakini siyo mara ya kwanza kuleta matatizo yangu hapa na mkanisaidia,
kama utaweza kupitia topic zangu za nyuma utanielewa vizuri ila leo nimekuja na lingine
nimeolewa nina mtoto mmoja ana miaka 5 nimeolewa miaka 7 iliyopita, kipindi chote cha maisha yangu ya ndoa nimepitia mambo magumu sana kutokana na tabia ya ufataki aliyonayo mume wangu lakini mungu amenisaidia mpaka hapa nilipo,
, kama wiki 3 zilizopita kuna mtoto wa kike wa shangazi yake na mume wangu alikuja nyumbani kama kawaida huwa anakuja kutusalimia then anaondoka ila safari hii akawa amekaa sana nkamuuliza vpi unarudi au umekuja mjini kwa lengo gani akaniambia amechoka kukaa kijijini bora akae nyumbani anisaidie kazi za nyumbani nikamwambia sawa, tumekaa nikaona tuna shida ya mfanyakazi katika biashara yetu na yeye kwa elimu yake ndogo hiyo kazi anaiweza, basi nikamweleza mume nae akakubali tukaona kuliko akae nyumbani na kuna msichana wa kazi haina sababu, basi jana kaanza kazi na hiyo kazi anafanya hadi saa nne usiku then wanarudi na mjombaake ( yaani mume wangu)
jana usiku saa nne nikiwa ndo nataka nijilaze kitandani nilisikia gari la mume wang akiwa anarudi coz najua mlio wake, basi nikakaa kama dk 10 gari ipo nje nikajiuliza mbona hafungui geti aingize gar akili ikanijia labda anaongea na simu, nikalala zangu kama dk 20 mbele bado gari ipo silent nje, nikaamka nikatoka nje nikafungua geti taratibu nilishuhudia mume wangu akikisiana na huyo mtoto wa shangazi yake,niliishiwa nguvu nikamsogelea kuwaangalia vizuri bint akashtuka sana akataka kukimbia akashuka kwenye gari, nikamuuliza mnafanya nini hapa akaniambia wanafanya mahesabu nikamwambia mbona giza ebu leta hilo daftari la mahesabu mnalofanyia, akababaika akamuita yule bint akamwambia leta daftari akakimbia ndani chumbani kwake akajifungia akalala, nilistaajabu sana sikuamini nilichokina, mume wangu akaingiza gari ndani akaja chumbani jasho linamtoka sikumsemesha wala kumuuliza chochote nikalala,
leo asubuhi nilipoamka nikamwamsha yule binti nikamwambia ajiandae arudi kwao kajiandaa nikampa nauli nikamwambia asije tena nyumbani kwangu.
wapendwa kichwa kinaniuma na kinachoniuma siyo kuwakuta katika hali ile ila roho inaniuma mume wangu alipofikia ukiangalia yule binti ni ndugu yake wa damu kabisa ana miaka 17 tu, mume wangu ana miaka 47 mtu mzima, nimefikiria cha kufanya nakosa sina wa kumueleza naogopa mume wangu ni kiongozi nikisema kwa watu ni aibu natamani nifungashe niende kwanza nyumbani kwetu kwani naishi mbali na wazazi labda huyu mume atabadilika nikiondoka au nifanye nini msaada wenu jamani
mmmh! naogopa nikisema msimamo wangu katika hili nitaumiza watu ngoja nikae kimya.
ur right sijamwambia waachane nimemwambia apumzike soma comment vizyri kabla hujaandika.
Narudi
kaliripoti kwa wazazi wake kama hana basi ndugu zake wa karibu kwani ukiondoka utakuta mwana si wako.
Kaliripoti kwa wazazi wake kama hana basi ndugu zake wa karibu kwani ukiondoka utakuta mwana si wako.
lazima utakua single tu. Nazijua attitude za single ladies
Kwa namna tu ulivyoandika mchango wako ni "guessable", which means tayari umeshaumiza watu!
hivi mwanamke aliyeolewa na watoto anaweza kuandika kama wewe???? Soma michango ya wenzio walioolewa na wapo kwenye ndoa zao utaelewa namaanisha nini
na nani aliyesema avunje ndoa yake????
bora uondokeeeeeee unanikera tuha ha ha ha ha wengine wanaandika what should be read na wanatoa michango mizuri but trust me, mi nipo ki-practical zaidi.
Bye bwana