Nilichokigundua nilipokuwa kifungoni

afu wewe mshari...
Ushawahi kutoa mimba nini?

Huyu Lizzy kama kweli ni mke basi atakuwa kwenye monopouse,
Maana kipindi hicho wanawake wanakuwaga msongo wa mawazo na majibu kama yake
 
Tuendelee hapa;
9. Lizy ni mwanamke lakini mvuto wake sio kama ule wa avator yake.
10. Feis buku ni miongoni mwa waathirika wa mabomu ya mbangala.
11. Dazipozi ni mwanamke albino yuko kongwa dodoma.
12. Wanajf wengi hawana........
 
Hapa tukaneni, andikeni matusi "huwezi kupewa ban kwenye chit-chat' St. Ivuga jan 2012
 
Tuendelee hapa;
9. Lizy ni mwanamke lakini mvuto wake sio kama ule wa avator yake.
10. Feis buku ni miongoni mwa waathirika wa mabomu ya mbangala.
11. Dazipozi ni mwanamke albino yuko kongwa dodoma.
12. Wanajf wengi hawana........
Kaka hayo matusi hebu nitake radhi boya wee,Mx
 
Ingawa bia za kunywea ndani sio tamu ngoja niendlee nendeleee kuzimua na hii then naona zitashuka lol
 
Mhhh! Wakusoma naona unatafuta Ban nyingine ili ukamalizie research yako.
 
Back
Top Bottom